Tony antony
JF-Expert Member
- Nov 17, 2013
- 4,988
- 3,270
brother karne hiyo ishapita sasa hivi muziki biashhara ndicho mnachoshindwa kutofautisha Diamond au Kiba hakuna hata mmoja hivi sasa anayetoa muziki mzuri,hiyo nyimbo ya Kiba baada ya mwezi utaona ya kawaida tuu hutakua interested kama leo kuisikiliza.kinachomshinda alikiba hawezi biashara wakati diamond ndo uwanja wake,na hapo ndipo utaonA diamond ni best kuliko kiba.Bro, labda wewe hujui.
Kuna kitu kinaitwa muziki bora na kingine kinaitwa bora muziki.
Unajua kwanini nyimbo za Celine Dion, west life na wengine wa nje nyimbo zao ukizikiliza leo huwezi kuzichoka?
Jiulize kwanini nyimbo za Mr nice hazipo na watu hawawezi kuzikiliza japo kwa wakati ule zilionekana bora kwa ujanja unoona bora kwako???
Nimekupa home work
Sema nini mkuu : Haya maneno ungeyaandika kwenye ile post ya Ommy ingefaa zaidi!!fita ni fita mura
Akufire Salama mkuu [emoji119][emoji119][emoji23][emoji23][emoji23]
hawaamini wanachokiona mpka sasaTulieni dawa iwaingie....alikiba kachapa bakora na imewaingia sawasawa
walifikiri itabamba kama salomeUnaburudika kwa kuwa unawapenda wcb sikatai. Hata mm naburudika nao. Ila sio wa kuufananisha na wimbo wa mtu aliyeumiza kichwa.
Nitakupa mfano wa nyimbo ya timbulo ambayo iliingia kwenye kuahindania tuzo.
Jamaa alikosa tuzo kwakua tu, nyimbo inafanana kidogo na nyimbo ya msanii wa nje.
Kama wameitoa tuisikilize gheto, haina shaka. Ila kama wameitoa ili tuone wanaumiza vichwa, kwangu hapana.
Nataka kusikiliza maudhui tofauti na niliyowahi kuyasikia. Hivyo ndivyo sanaa inavyokua
Sent using Jamii Forums mobile app