TUMBIRI
JF-Expert Member
- May 7, 2011
- 1,933
- 1,199
Ni pombe au akili yako??
Mkuu siyo Pombe. Rejea hizi kauli za wenzetu:
Nimetembea kuanzia KIA, Kikatiti, Maji ya Chai na Usariver! kote huku hawataki kabisa kuiskia CDM!
wewe baki tu kwenye Keyboard yako dar es slaam ukipiga kelele kuwa CDM inashinda, Wenzako tulio field tunafahamu what is real happening. Viongozi wa CDM hii wiki yote wameingiwa hofu kubwa sana!!
Tehe teh teh na mbuzi na ng'ombe wa kusherehekea usindi wa Sioi hiyo tarehe 1 tumepewa!!
Tarehe 2 April 2012 ni siku ya malalamiko ya kuibiwa kura kitaifa yatafanyika humu Jamvini.
Wote hawa wasindikizaji! Ushindi upo CCM!
Ni mambo ya kujipanga tu. Arumeru hatuhitaji kutumia nguvu kubwa cuz tunakubalika! Vipi, mmeshasolve matatizo ya kifedha yanayowakumba?
Masikini we! Yaani pamoja na kubeba watu Moshi, Hai, Arusha nk bado ndo mkutano umedoda hivi? Umezidiwa hata na mkutano wa uzinduzi wa kampeni za kata Mwanza, Aibu!!! Subirini mafuriko Jtatu ndo mtajua CCM mziki mkubwa!