Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuanzia mida hii ya asubuhi maandamano yanaanza taratiibu. Watakaotokea upande wa mjini watakusanyika Shangarai au tengeru waanza kuja Usa river, na Pia watakaotokea upande wa KIA na Kingori watakusanyika kikatiti na wao waanze kuelekea Usa River.
Katibu wa chadema wilaya alinieleza kuwa kuanzia saa sita na nusu saa saba mambo yatakuwa yameanza.
Wote hawa wasindikizaji!Makamanda wengi wameshawasili.
Zitto, Mbowe, Msigwa, Natse, Nyerere, Lema, Grace kiwelu, Suzan, Joyce, Esther, na wengine wapo njiani....
Wote hawa wasindikizaji!
Ushindi upo CCM!
Hakuna kulala mpaka kieleweke.Makamanda wengi wameshawasili.
Zitto, Mbowe, Msigwa, Natse, Nyerere, Lema, Grace kiwelu, Suzan, Joyce, Esther, na wengine wapo njiani....
Siyo Arumeru safari hii tumewashika jiulize mlikuwa mzindue jana mkashindwa mkasema mtanzidua leo mkashindwa sasa nasikia mnazindua jumatatu...mnalo safari hiiWote hawa wasindikizaji!
Ushindi upo CCM!
Kuhusu Update mkuu usiongope hii ndiyo Arusha mtapata kila kitu bila chenga....afadhali mkuu utupe updates
Siyo Arumeru safari hii tumewashika jiulize mlikuwa mzindue jana mkashindwa mkasema mtanzidua leo mkashindwa sasa nasikia mnazindua jumatatu...mnalo safari hii
Kuhusu Update mkuu usiongope hii ndiyo Arusha mtapata kila kitu bila chenga....
muulize migulu chemba anaujua ukweli