Meitinyiku L. Robinson
JF-Expert Member
- Aug 29, 2011
- 412
- 90
May it please you waungwana
Labda CCM wametumia busara kwa maamuzi hayo ya kurudia uchaguzi wa Arumeru Mashariki. Na busara hii ni kwa namna ambavyo kumekuwa na mawazo tofauti pamoja na sintofahamu baina ya pande mbili ndani ya Chama hicho kimoja jambo ambalo si tu litawapa CCM wakati mgumu bali watakuwa na % 40 ya kushinda.
Ni wakati muafaka kwa wanachama wa CCM kutafakari upya juu ya maamuzi yao waliyoyafanya kwa kutazama kati ya Sarakikya na Sioi nani atastahili kupewa zile kura 205 za Elirehema, 176 za Elishilia, 22 za Musani na 11 za Rishiankira lazma mtazame na mfanye uamuzi usio na harufu ya rushwa wala upendeleo wa namna iwayo ile mkikumbuka mlipoangukia na mtakapo inukia.
Mkijiuliza mambo ya msingi mathalan nafahamu Sarakikya alikuwa mgombea mwaka 2010 katika kura za maoni ndani ya Chama na alifanya vizuri lakini pia ama alikuwa au ni kamanda wa vijana ktk Jimbo hilo je Sioi katokea wapi na uwezo wake ni upi???
I aint campaigning but Sarakikya you deserve it! All the best watu wa Meru
Labda CCM wametumia busara kwa maamuzi hayo ya kurudia uchaguzi wa Arumeru Mashariki. Na busara hii ni kwa namna ambavyo kumekuwa na mawazo tofauti pamoja na sintofahamu baina ya pande mbili ndani ya Chama hicho kimoja jambo ambalo si tu litawapa CCM wakati mgumu bali watakuwa na % 40 ya kushinda.
Ni wakati muafaka kwa wanachama wa CCM kutafakari upya juu ya maamuzi yao waliyoyafanya kwa kutazama kati ya Sarakikya na Sioi nani atastahili kupewa zile kura 205 za Elirehema, 176 za Elishilia, 22 za Musani na 11 za Rishiankira lazma mtazame na mfanye uamuzi usio na harufu ya rushwa wala upendeleo wa namna iwayo ile mkikumbuka mlipoangukia na mtakapo inukia.
Mkijiuliza mambo ya msingi mathalan nafahamu Sarakikya alikuwa mgombea mwaka 2010 katika kura za maoni ndani ya Chama na alifanya vizuri lakini pia ama alikuwa au ni kamanda wa vijana ktk Jimbo hilo je Sioi katokea wapi na uwezo wake ni upi???
I aint campaigning but Sarakikya you deserve it! All the best watu wa Meru