Kwa bahati mbaya sana kikao cha kamati kuu ccm kimefanikiwa kuwa danganya wasiojua kwamba hoja ya kurudia kura za maoni arumeru ni asilimia.kwanza ndani ya katiba ya ccm hakuna mahali wanapotaja kwamba mgombea ubunge afikishe zaidi ya asilimia 50,kama ipo ibara waje hapa wataje ni ibara gani na ni katika jimbo gani utaratibu huo ulisha wahi kutumika?kwa kadri nilivyojua tangu mwanzo na hasa kupitia wanachama wenyewe wa ccm kwamba kulikuwa na tuhuma za rushwa na hata kufikia hatua ya kutaja hata rushwa kwamba ilitolewa hadi laki moja na nusu.tuhuma nyingine ni kuhusu uraia wa ndg sioi sumari kwamba ni raia wa kenya na tuhuma ya tatu ni kwamba ndg sioi sumari ni muumini wa lowasa na hivyo fedha za kuhonga zilitoka kwa lowasa na mwisho ni kwamba mwigulu nchemba na stephen wasira walitumwa kuhakikisha kwamba mgombea wa benard membe ndg sarakikya anashinda na ndio maelekezo ya kikweke .kwa sababu hizo hapo juu kwa chama ambacho kinajifanya kuwa kina uzoefu mkubwa kimeshindwa kujibu au hata kusemea tuhuma hizo zote badala yake wametangaza tarehe nyingine ya kurudia kura za maoni kwa hoja nyepesi.hii haiondoi ukweli wa hoja hizo na kwa maana hiyo ni kwamba ccm wamebanwa wakatafuta the so called exit point which is not sustanable!nawa sihi chadema msifanye makosa na panga mipango wa watu makini kwa ushindi usipange mtu kwa sababu ya sura,gari,kelele jali uwezo wa kupanga ,kuratibu,kuamua ,k usimamia na wakati huo huo kutoa maelekezo sahihi kwa watu wa chini yake.ushauri wakati ccm wanaendelea kudanganya watu nyie semeni ukweli hata kama unauma kwa sababu huwa unauma kwa kawaida.