Kwako wewe kuwa great thinker ni kutokusikiliza Clouds fm? Acha.... wewe!!Mkuu si wote walio Jf ni Great Thinkerz,angalia mleta mada alivyoleta na kufanya conclusion na jinsi source ya hiyo habari alipoitoa,unaona kabisa mleta habari na chombo alichopatia habari akili zao zinafanana!great thinker hawezi kaa chini na kusikiliz clouds fm