Pole pole na hayo makombora yenu mnayoyaelekezea pande enyi Mwafrika, Shalom etc, lol!
crap
Pole pole na hayo makombora yenu mnayoyaelekezea pande enyi Mwafrika, Shalom etc, lol!
crap
Una tabia za Mwafrika wa Kike.
Una tabia za Mwafrika wa Kike.
Lets judge these people rationally. Kura za Dr.Slaa zilipanda haraka sana mara baada ya polls hizi kuanza na baadae zimekuwa steady!. My take an organized group of people spearheaded the move probably using multiple IDs and when they cant register no more or less than before their counterparts works up na wao huenda ndo wameanza kupiga kura mtandaoni. To me online polls are not a true representation of popularity.
Uvamizi unaonekana kuendelea katika JF baada ya kura kuongezeka kutoka 1,556 hapo jana saa 11 jioni (1700) hadi kufikia 1,777 leo saa nane dakika 32 (14:32 hrs). This is a tremendous efforts has baada ya kuzomewa huko katika kampeni zake.
... punguza ulalamishi Slaa bado anongoza. Mwisho mtawasingizia Mods wa JF kwa uchakachuaji!
za slaa haziongezeki kwa mkupuo kama wa kura za kikwete.
Kikwete alipata kura mia tano ndani ya siku moja, kisha jana akapata kura 250 ndani ya masaa machache tu. Online polls haziendi hivi.
madrassa al sul
Uvamizi unaonekana kuendelea katika JF baada ya kura kuongezeka kutoka 1,556 hapo jana saa 11 jioni (1700) hadi kufikia 1,777 leo saa nane dakika 32 (14:32 hrs). This is a tremendous efforts has baada ya kuzomewa huko katika kampeni zake.