mwenyekiti anatumia rasilimali za chama kuinufaisha kambi yake.
Mbona wana CCM wanamtetea sana ZZK? Hiki ni kiashiria tosha kuwa ZZK hakuwahi kuwa CDM. Mlimtuma kuvuruga CDM. Acheni kuchezea maisha ya wa TZ bana
Hata Dr.Slaa analitambua hilo.Zitto kiboko
Mbowe ana utajiri wa fedha si mvuto wa kiuongozi, zitto ana mvuto zaidi (Mninange sasa karibuni)
Ondoeni Uzi wa kipuuzi