kura ya maoni; Zitto vs Mbowe

kura ya maoni; Zitto vs Mbowe

Vijana wenzangu jiepusheni kuwa daraja la wachaga kufikia malengo yao..! Hebu ifike mahali sasa tujue thamani yetu, utu wetu & kura zetu pia..! Cdm hawana lengo na watz hawa ni wachumia matumbo tena ya wachaga..,! Muda na wakati wa kukataa kuwa daraja & kujitambua ni sasa... Hawa jamaa ni fisi waliovaa ngozi ya kondoo....!
Eti wachaga? Nadhani haumaanishi unachosema. Je wachaga walio CCM nao ni CDM. Acheni upuuzi huu wa kimantiki utakaoligharimu taifa. Baada ya wachaga mtasema wahaya, wapimbwe nk. Kama tatizo ni Mbowe awe mbowe na sio wachaga kwa sababu mbowe ni mchaga bana. I hate these sweeping conclusions.
 
Ndio hatuwezi kufika! Vyama vinaendeshwa kwa mitazamo ya dini za watu tutafika vipi,unadhani waTanzania hawaelewi sarakasi za CDM,MMEMWAGA MBOGA NA WENZENU WANAMWAGA UGALI.

Tatizo lako nafikiri ni uelewa wa mambo ya misingi na yenye mantiki. Enzi za propaganda zimepitwa na wakati rafiki. Hizi propaganda zako hazipunguzi ugumu wa maisha ya watz walio wengi vijijini/mijini hata kidogo. Siku zote kote duniani, propaganda mwisho wa siku hushindwa.
 
Zitooooooooooooooo Kabwe!

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Huwezi linganisha Zitto na Mbowe.Zitto yuko juuu saaaaaana.
 
Back
Top Bottom