Zitto Kabwe.
Huyo mmoja akanywe mbege
Mkuu, acha woga na hofu ya uchagui. Wapi kumetajwa mwenyekiti humu?Umevurugwa wewe! hivi magamba mnatoa wapi uhalali wa kupendekeza m/kt wa CDM? NYAMBAFU SANA!
Ukisema zitto anauso mchafu,na pinda je,kwa maendeo kgm tunayo kwa sababu ya zitto.ataendelea kuwa kizito ndani ya chama.chadema bila zitto haiwezekani.
Unaomba kura humu na kumejaa jamaa wa bavicha wanaomsujudia mwenyekiti wao kulinda mkate wao wa kila siku..........
Nadhani ungeingia mitaani ukusanye maoni kwa wanainchi wa kawaida......ila tahadhari usiingie kwenye vilabu vya mbege....wote watakupa jibu moja...watakwambia....hakuna cha Sito hapa wala nini.....
Maccm bana, zzt ni mchumia tumbo hana sifa haya ya kuongoza familia, mtu anae fanya kaz na kurport kwa mwigulu, ata kuwa kiongoz kweli.
piga kura yako hapa, kati ya zitto kabwe na mbowe freeman, yupi ana mvuto wa kisiasa zaidi?
acha jazba changia na piga kura yako kimya kimya na kwa ustaarabu, rudi nyumbani kapumzike, subiri matokeo. hairuhusiwi kufanya vurugu.