nasikia hammer inakadiliwa kuwa kama b1 hivihivi hummer na vogue kanunuaje?
Slaa is the best candidate but my question is nani atakua mtendaji mkuu wa serikali? Waziri Mkuu wa Rais? Nafuatilia CHADEMA internal politics first.
Zitto Kabwe ingawa ni opportunist ni mzuri sana katika Diplomacy.
Swala la kuwa mshikaji na mtu wa chama tofauti sidhani kama ni swala la kipaumbele katika hii mada coz haimaanishi kuwa vyama tofauti basi muwe maadui. Marehemu Mzee Selasini alikua CCM ilihali mwane ni CHADEMA lakini hakuwa wanachukiana. Tusije kuwa kama CUF na CCM Zanzibar ambapo ilifika mahali hawaombani chumvi, hawatumii kisima kimoja na wakikutana ni vita hadi hapo mabaraza ya vija wa REDET yalipoanza ambapo vijana walielimishwa upinzani wa vyama siyo wa maisha. Chama kinaweza kufutwa au kufa leo kesho kikaundwa kingine na watu wale wale lakini mtu ukifa leo huwezi undwa upya.