Kura ya maoni: Zitto vs Dr Slaa

Kura ya maoni: Zitto vs Dr Slaa

Ni nani ungependa agombee urais mwaka 2015 kwa tiketi ya CHADEMA?

  • Zitto Z. Kabwe

    Votes: 180 15.3%
  • Wilbrod P. Slaa

    Votes: 996 84.7%

  • Total voters
    1,176
  • Poll closed .
Status
Not open for further replies.
waislamu wangapi wameoiongoza hii nchi, kama kikwete ambaye hata waislamu wenzake hatumkubali? Zitto is junior in siasa comparison to slaa, who has vast experience, angalia zito anavyokandamizwa na makashfa kibao.. Slaa is fit to be a president. Zitto has a lot to learn sio kuwa rais ni kuwa na jina tu hiyo ni responsibility,,,
 
yaani dr slaa na uzee wake ameshindwa kusuluisha kesi yake ya ndoa, kwa hilo dogo tu itakuwaje hata makubwa, hizo ndoa anatoka nazo wapi na uzee huu? Zito ana nguvu gani ya kuliongoza taifa letu? Bado no mdogo sana tena kama ana mawazo hayo basi ana uchu wa madaraka na HATAFAA! CHADEMA HAINA KIONGOZI,, WANAJITAFUTIA MADARAKA TU,SIO MASLAI YA UMMA, HATA SENSA HAWAITILII MKAZO? NI NGUMU SANA, WAKO BUSY KUWAANDAMANISHA WANANCH NA SIO KUFANYA KAZI, MAHELCOPTA YANANUNULIWA HUKU WANANCH WANAKUFA NJAA.
 
yaani dr slaa na uzee wake ameshindwa kusuluisha kesi yake ya ndoa, kwa hilo dogo tu itakuwaje hata makubwa, hizo ndoa anatoka nazo wapi na uzee huu? Zito ana nguvu gani ya kuliongoza taifa letu? Bado no mdogo sana tena kama ana mawazo hayo basi ana uchu wa madaraka na HATAFAA! CHADEMA HAINA KIONGOZI,, WANAJITAFUTIA MADARAKA TU,SIO MASLAI YA UMMA, HATA SENSA HAWAITILII MKAZO? NI NGUMU SANA, WAKO BUSY KUWAANDAMANISHA WANANCH NA SIO KUFANYA KAZI, MAHELCOPTA YANANUNULIWA HUKU WANANCH WANAKUFA NJAA.
 
yaani dr slaa na uzee wake ameshindwa kusuluisha kesi yake ya ndoa, kwa hilo dogo tu itakuwaje hata makubwa, hizo ndoa anatoka nazo wapi na uzee huu? Zito ana nguvu gani ya kuliongoza taifa letu? Bado no mdogo sana tena kama ana mawazo hayo basi ana uchu wa madaraka na HATAFAA! CHADEMA HAINA KIONGOZI,, WANAJITAFUTIA MADARAKA TU,SIO MASLAI YA UMMA, HATA SENSA HAWAITILII MKAZO? NI NGUMU SANA, WAKO BUSY KUWAANDAMANISHA WANANCH NA SIO KUFANYA KAZI, MAHELCOPTA YANANUNULIWA HUKU WANANCH WANAKUFA NJAA.

Mtu mpumbavu utamjua kwa upumbavu atakaoandika.
 

Huyu kushoto ndiye Rais wangu zije mvua au masika ndani ya Chama

Kiongozi makini anayekubalika kimataifa utamuona tu hata kwa haiba yake! angalia katika picha hii wote alio nao mbele yake walivyonyenyekea kwa kumheshimu na kumkubali. Hii ni rasilimali hadimu itumieni na Mungu atakuwa upande wenu watanzania.
 
Mimi ningemchagua Dr Slaa kwa sababu zifuatazo.
-Msomi anayejua kudharau wanaombeza.
-Mpole mwenye kujali wanyonge
-Mvumilivu kwa wanasiasa wabovu kama hawa wa CCM
-Mbunifu wa kujua awafanyie nini Watanzania
 
Jamani Mwl. alilaani udini na ukabila kwa sababu alitambua yakwamba,utadumaza maendeleo ya Taifa.This is not a religious state,so once we suggest for presidential contest it's unbecoming to include religional affairs,so if one among of two is capable to run our nation,let us vote for him without including his religion.
 
jamani Zito wengine tumesoma naye, si mtu anayefaa kuwa Rais hata kidogo. mm nakumbuka mwaka 2005 Kikwete alipogommbea urais, watu wengi walikuwa na matumaini naye, mm niliwaambia sitamchagua kwani hafai kuwa rais. La pili nikawaambia kama wanabisha hebu wanipatie sababu na evidence za utendaji wa kikwete tangu aingie katika ngazi mbalimbali za uongozi, hakuna hata mmoja aliynipatia sababu.

mm nawambia kuliko kumpatia nchi Zito, ni Bora tumchague John Mnyika, ni mtulivu, anajiheshimu na anajitahidi kuchuja kila habari kabla ya kuongea. zito ni mropokaji na na misimamo ya kibinafsi kitu ambacho kitalighalimu Taifa. Kwa wale ambao hamkusoma kuhusu Hitler, tafuteni vitabu vya rise and fall of Hitler, then hamtatuuliza maswali.

mm nadhani kumfananisha zito na Dr. Slaa, ni kumvunjia heshima Dr. Slaa.

Naomba mjue CDM hawana ugomvi na Zito,bali hata ss ambao sio wana cdm tuliosoma naye UDSM alipewa madaraka kidogo DARUSO, fuatilieni jeuri na tabia zake, mkishapata taarifa zake za kutosha hutahitaji kuja kumlinganisha na Dr.

watu wengine bana wamekuja kutuharibia siku zetu bure, na nina mashaa anayemsabikia hamjui zito vizuri jinsi alivyo
 
Jamani Zito wengine tumesoma naye, si mtu anayefaa kuwa Rais hata kidogo. Naomba mjue CDM hawana ugomvi na Zito,bali hata ss ambao sio wana cdm tuliosoma naye UDSM alipewa madaraka kidogo DARUSO, fuatilieni jeuri na tabia zake, mkishapata taarifa zake za kutosha hutahitaji kuja kumlinganisha na Dr. Slaa.

Mm nakumbuka mwaka 2005 Kikwete alipogombea urais, watu wengi walikuwa na matumaini naye, mm niliwaambia sitamchagua kwani hafai kuwa rais. La pili nikawaambia kama wanabisha hebu wanipatie sababu na evidence za utendaji wa kikwete tangu aingie katika ngazi mbalimbali za uongozi Serikalini, hakuna hata mmoja aliyenipatia sababu na evidence za kunishawishi kumpigia.

mm nawambia kuliko kumpatia nchi Zito, ni Bora tumchague John Mnyika, ni mtulivu, anajiheshimu na anajitahidi kuchuja kila habari kabla ya kuongea. Zito ni mropokaji na ana misimamo ya kibinafsi kitu ambacho kitalighalimu Taifa. Kwa wale ambao hamkusoma kuhusu Hitler, tafuteni vitabu vya rise and fall of Hitler, then hamtatuuliza maswali.

mm nadhani kumfananisha zito na Dr. Slaa, ni kumvunjia heshima Dr. Slaa.

watu wengine bana wamekuja kutuharibia siku zetu bure, na nina mashaka anayemshabikia hamjui Zito vizuri jinsi alivyo
 
Tuache kelele nyingi, kama ungepewa mamlaka ya kumteua kati ya Zitto Zuberi Kabwe ama Wilbroad Peter Slaa kugombea nafasi ya urais mwaka 2015. Ni nani ungemteua? Na Kwa Nini? Toa sababu kuu nne TU.

Swali hili kawapelekee ndugu zako magamba! unaonekana umetumwa wewe!
 
Thread hii haina maana yoyote sasa hivi, maana hakuna aliyeweka bayana kuwa atagombea. Jadili M4C na mafanikio yake, mapungufu. Unadhani waweza kuwakoroga CDM kwa upuuzi huu? no way.
 
Nakuonea huruma maana bado u mchanga hapa jamvini. Ukikua ntakwambia kuwa huo ni upumbavu ulioandika.
yaani dr slaa na uzee wake ameshindwa kusuluisha kesi yake ya ndoa, kwa hilo dogo tu itakuwaje hata makubwa, hizo ndoa anatoka nazo wapi na uzee huu? Zito ana nguvu gani ya kuliongoza taifa letu? Bado no mdogo sana tena kama ana mawazo hayo basi ana uchu wa madaraka na HATAFAA! CHADEMA HAINA KIONGOZI,, WANAJITAFUTIA MADARAKA TU,SIO MASLAI YA UMMA, HATA SENSA HAWAITILII MKAZO? NI NGUMU SANA, WAKO BUSY KUWAANDAMANISHA WANANCH NA SIO KUFANYA KAZI, MAHELCOPTA YANANUNULIWA HUKU WANANCH WANAKUFA NJAA.
 
Siyo vibaya kuamua mwenyewe na kwenda hospitali kupima, kama una ugonjwa wa akili, inawezekana usijitambue kwamba una ugonjwa huo, sababu hupotezi hamu ya kula , maana unaweza kula hata uchafu na takataka. Badala ya kufikiria na kushauri njia ya kuinua uchumi na maisha ya watanzania, wewe unaleta thread ya kiugonjwa wa akili, kama watanzania hatutaki kukubali ukweli, kwa ajili ya sababu zetu binafisi, basi hatutaweza kuendelea kamwe. Linganisha serikali iliyopo na hali halisi ya watanzania kama serikali kweli inawatendea haki kimaaendeleo wananchi wake, AU HUO NAO NI UPEPO UTAPITA?
 
Hili swali kwakiwango kikubwa litajibiwa na vijana wa CCM, wenye nia mbaya na CDM. Ila kwa faida ya wachache wenye mapenzi na Tz, Z..Z.K bado mchanga.; na atakosa kura yangu kutokana na tabia mbaya. Mimi mtoto mdogo , ni DR. na Zito ndio walinifanya kuitambua CDM enzi ya RICHMOND. Pamoja na hayo, bado kwa busara, uwezo, utendaji, mbinu, maono ya kisiasa, Zito ni mdogo ukimlinganisha na DR. kwanini Zito asijaribu hata 2020?. Kwanini asilione hili nakupinga ccm kumchonganisha na CDM?. Kweli nashindwa kuipa CDM meza ya kufanyia kazi serikalini kama SLAA atadharauliwa kiasi hichi !!
 
na mbulu (arusha) atasema anampenda slaa kwa sababu ya upadri? Mbona unakuwa na mawazo mgando kabisa -wewe ndo mdini wa kwanza-epuka pumba @ precise:director::shetani:
 
Hili swali kwakiwango kikubwa litajibiwa na vijana wa CCM, wenye nia mbaya na CDM. Ila kwa faida ya wachache wenye mapenzi na Tz, Z..Z.K bado mchanga.; na atakosa kura yangu kutokana na tabia mbaya. Mimi mtoto mdogo , ni DR. na Zito ndio walinifanya kuitambua CDM enzi ya RICHMOND. Pamoja na hayo, bado kwa busara, uwezo, utendaji, mbinu, maono ya kisiasa, Zito ni mdogo ukimlinganisha na DR. kwanini Zito asijaribu hata 2020?. Kwanini asilione hili nakupinga ccm kumchonganisha na CDM?. Kweli nashindwa kuipa CDM meza ya kufanyia kazi serikalini kama SLAA atadharauliwa kiasi hichi !!
ulichoongea ni kweli kaka,kwa zito inamaana hajielewi,sisi ni vijana wenzie lakini tunaona bado kabisa,inatakiwa kama yupo chadema ajitahidi atakapokomaa atachukua lakini hii kuropoka2 ni mbaya sana
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom