Pumzi Ya Uhai aka PYU
JF-Expert Member
- Oct 3, 2012
- 201
- 42
ndio nimejiunga mkuu,ila kura yangu nampa dr slaa
Nakulazimisha! "OLD IS GOLD!"zitto atapata kura nyingi akigombea urais kuliko slaa,Slaa ni mzee kwa sasa.
ndio nimejiunga mkuu,ila kura yangu nampa dr slaa
Tuache kelele nyingi, kama ungepewa mamlaka ya kumteua kati ya Zitto Zuberi Kabwe ama Wilbroad Peter Slaa kugombea nafasi ya urais mwaka 2015. Ni nani ungemteua? Na Kwa Nini? Toa sababu kuu nne TU.