MovingForward
JF-Expert Member
- Nov 10, 2009
- 489
- 49
Zitto jamani saizi yake ni ubunge tu kwa sasa. Sijaona kukomaa kwake kunakoweza kupelekea aingie urais. Ila kwa sababu ya demokrasia agombee tu, halafu wanachama tutaamua.
nani kama dk.slaa Tanzania tuache propaganda
zitto atapata kura nyingi akigombea urais kuliko slaa,Slaa ni mzee kwa sasa.
wewe utakuwa umetumwa cdm hakunaga udini pale, kama unataka udini nenda cuf. Kama ulishuhudia mkutano wao wa jana na kuona vibarakashia kibao, halafu mbaya zaidi mkutano walifunguwa kwa sara baada ya pastor kuanza kusali wakawa wanamzomea.
mkigoma atasema anampenda zitto kwasababu ya dini
Kama wewe ndio mtetezi wa Zitto basi jamaa yako asahau Urais wa nchi hii maana huna tofauti na CCM. Kichwa chako unafugia nywele tu basiZITTO, ndio shujaa hao wote kina slaa walikuwa CCM , baada ya kushinwa ndo wakahama.sifa gani aliyonayo huyo BABU, ZITTO hana? . msimuonee wivu zitto kwa kipaji chake . lakini sio bure mnaomkashifu zitto wote mmepandikizwa. Sehemu za siri wakubwa nyie. aah aah aah.
Kwa hiyo zile 26& alipata Moshi na Arusha tu? Wewe unaishi kuzimu nini maana mtu aliyepo hapa Tanzania anajua ukweli. Mnaoleta ukabila na udini wote ni Wana CCM hata kama mnavaa kombatiWatu wa Moshi na Arusha wanampenda Slaa kwa sababu ya kabila lake
Wewe ndio una ufinyu wa mawazo, huoni aibu tangu 2009 post 5 tu?. Hujui hata sheria za JF kwamba hutakiwi kutaja jina lamtu humu. Mods please mtendeeni haki huyu au vipi Mkuu Paw?Comment deleted... (name calling)
Paw