Kupwa na kujaa kwa bahari

Kupwa na kujaa kwa bahari

It means jua au mwez ukipatwa mawimbi huongezeka??
Hata sijui swali lako linaegemea wapi, umenisoma na kunielewa?

Ngoja nikuandikie tena tena niende kitoto kabisa ukinielewa
1: Maji kupwa na kujaa kunasababishwa na mzunguko wa Mwezi kuizunguka Dunia, hapa kunakuwa na Gravitational force ambayo inayafuta maji yaliyopo Duniani kuelekea Mwezi ulipo,
sasa tuanzie hapa
1: Mwezi ukiwa Kaskazini ya Dunia, basi maji yatajaa Kaskazini na Kusini mwa dunia, na Maji yatakupwa Mashashiri na Magharibi ya Dunia,
Kumbuka mwezi unazunguka kutoka Mashariki kwenda Magharibi, hivyo basi

2: Mwezi ukizunguka na Kufika Kaz-Mag, basi maji yatajaa Kaz-Mag na Kus-Mas na kupwa Kaz-Mas na Kus-Mag

Kwa hiyo kila Mwezi utakapokuwepo kuelekea uso wa Dunia utasababisha maji kujaa kwenye uelekeo huo

Nimejaribu kukuelezea kitoto zaidi
 
Kwanini hali hiyo haiathir maziwa??

Kaka hiko hivi, hapa tunazungumzia Gravitational forces, na hiyo force (Kani) inategemea Mass(Tungamo) na Acceleration due to Gravity
Fg (Tungamo Mvutano) =Mass(Tungamo)xg
Fg=mg, sasa hapo ukiangalia Force na Mass ndio zina uhusiano yaani Mass ikiwa kubwa na Force inakuwa Kubwa huku g ni constant

Sasa Mass(tungamo) ya Maziwa ni ndogo sana kwa sababu ya uchache wake wa Maji kulinganisha na Bahari, hivyo basi kwa uchache huo unasababisha pia nguvu ya kuvuta hayo maji iwe ndogo, ndio kisa cha Maziwa kukosa Low na High tide au kupata kwa kiwango kidogo sana hasa kwa Maziwa makubwa

Nimeeleza kitoto sana ili unielewe
 
upload_2016-9-5_15-29-40.jpeg
The gravitational attraction of the moon causes the oceans to bulge out in the direction of the moon. Another bulge occurs on the opposite side, since the Earth is also being pulled toward the moon (and away from the water on the far side). Since the earth is rotating while this is happening, two tides occur each day.
 
Jibu la swali la kwanza.
Kupwa kwa bahari ni kitendo cha kupungua kwa maji ya bahari kwenye kingo - pwani zake katika eneo husika,
Kujaa kwa bahari ni kitendo cha kuongezeka kwa wingi kwa maji ya bahari kwenye kingo - pwani yake katika eneo husika.
Hivyo kupwa na kujaa kwa bahari kunasababishwa na mzunguko wa dunia katika mhimili wake, hali ya mzunguko wa dunia husababisha upande mmoja wa bahari kuwa na maji mengi kwenye kingo - pwani zake kwa masaa 12 na upande mwingine wa bahari kuwa na maji machache katika kingo - pwani zake kwa masaa 12 hicho kitendo ndio huitwa kupwa na kujaa kwa bahari.
Jibu swali la pili.
Mito, maziwa, mabwawa, visima n.k huwa havina sifa ya kupwa na kujaa kwa sababu ya udogo wao, ieleweke kwamba bahari huwa na sifa ya kupwa na kujaa sababu ya ukubwa wa bahari na bahari kuweza kuunganisha mabara zaidi ya moja yenye hali ya hewa tofauti mfn tunaona bahari ya hindi ilivyounganisha bara la afrika, asia, australia, antarctika n.k.
Pia tunaona sifa kama hizo kwa bahari kama pasifiki, atlantiki, mediterania n.k
Hivyo mito, maziwa, mabwawa n.k haviwezi kuwa na sifa ya kupwa na kujaa sababu vipo eneo moja la bara lenye sifa na tabia za nchi zinazofanana kama uoto, miinuko, hali ya hewa n.k.
Na ijulikane pia kwamba dunia huzunguka kutoka magharibi kwenda mashariki na ndio mana kwa upande wa mashariki mwa afrika tunapata hali ya kujaa kwa bahari kuanzia jioni na kuendelea.
Na pia kuzunguka kwa dunia katika mhimili wake husababisha matokeo mengine katika dunia kama usiku na mchana, kubadilika kwa masaa na kutokea kwa vipindi tofauti kama asubuh, mchana n.k
Uliza Swali lingine tafadhali kuhusu haya mambo, mana nipo kwenye mudi, ila
Watakuja wengine kuongezea zaidi.
Asante kwa makala yako nzur..
Bg up mkuu
 
Umeenda chaka kabisa...
Hakuna uhusiano wowote kati ya Earth's rotation na kupwa na kujaa kwa maji.

Kupwa na kujaa kwa maji kunasababishwa na ONLY moon gravitational forces...

Usidanganye watu mkuu.
Kwanini moon gravitational force haiathir maziwa??
 
It means jua au mwez ukipatwa mawimbi huongezeka??
Suali langu limelenga hivi...!!!
Kwakuwa mwezi,jua na dunia vikikaa mstari mmoja husababisha mawimbi kuongezeka..!! Kwahiyo nisahihi kuwa jua au mwez ukipatwa mawimbi huongezeka??
Hata sijui swali lako linaegemea wapi, umenisoma na kunielewa?

Ngoja nikuandikie tena tena niende kitoto kabisa ukinielewa
1: Maji kupwa na kujaa kunasababishwa na mzunguko wa Mwezi kuizunguka Dunia, hapa kunakuwa na Gravitational force ambayo inayafuta maji yaliyopo Duniani kuelekea Mwezi ulipo,
sasa tuanzie hapa
1: Mwezi ukiwa Kaskazini ya Dunia, basi maji yatajaa Kaskazini na Kusini mwa dunia, na Maji yatakupwa Mashashiri na Magharibi ya Dunia,
Kumbuka mwezi unazunguka kutoka Mashariki kwenda Magharibi, hivyo basi

2: Mwezi ukizunguka na Kufika Kaz-Mag, basi maji yatajaa Kaz-Mag na Kus-Mas na kupwa Kaz-Mas na Kus-Mag

Kwa hiyo kila Mwezi utakapokuwepo kuelekea uso wa Dunia utasababisha maji kujaa kwenye uelekeo huo

Nimejaribu kukuelezea kitoto zaidi
 
Kaka hiko hivi, hapa tunazungumzia Gravitational forces, na hiyo force (Kani) inategemea Mass(Tungamo) na Acceleration due to Gravity
Fg (Tungamo Mvutano) =Mass(Tungamo)xg
Fg=mg, sasa hapo ukiangalia Force na Mass ndio zina uhusiano yaani Mass ikiwa kubwa na Force inakuwa Kubwa huku g ni constant

Sasa Mass(tungamo) ya Maziwa ni ndogo sana kwa sababu ya uchache wake wa Maji kulinganisha na Bahari, hivyo basi kwa uchache huo unasababisha pia nguvu ya kuvuta hayo maji iwe ndogo, ndio kisa cha Maziwa kukosa Low na High tide au kupata kwa kiwango kidogo sana hasa kwa Maziwa makubwa

Nimeeleza kitoto sana ili unielewe
Gravt force kwenye maziwa haipo kabisa au ipo ndogo, nakama ipo kidogo mbona sijawah kuona kupwa hata kwakiwango kidogo kwenye maziwa??? Ispokuwa wakat wakiangazi ndo hupungua/unnoticed.

##je kiangazi kinaongeza mass ya maziwa nakusababisha gravt force yake kuwa kubwa??
 
View attachment 394072The gravitational attraction of the moon causes the oceans to bulge out in the direction of the moon. Another bulge occurs on the opposite side, since the Earth is also being pulled toward the moon (and away from the water on the far side). Since the earth is rotating while this is happening, two tides occur each day.
At least ime make sense,
##kupwa huwa kunasababisha kujaa maji kisiwa??##
 
View attachment 394072The gravitational attraction of the moon causes the oceans to bulge out in the direction of the moon. Another bulge occurs on the opposite side, since the Earth is also being pulled toward the moon (and away from the water on the far side). Since the earth is rotating while this is happening, two tides occur each day.
Kwanini maziwa hayaathiriwi na mvutano wadunia namwezi hali yakuwa maziwa nayo yapo kwenye dunia??
 
Gravt force kwenye maziwa haipo kabisa au ipo ndogo, nakama ipo kidogo mbona sijawah kuona kupwa hata kwakiwango kidogo kwenye maziwa??? Ispokuwa wakat wakiangazi ndo hupungua/unnoticed.

##je kiangazi kinaongeza mass ya maziwa nakusababisha gravt force yake kuwa kubwa??
Ziwa Nyssa Lina mawimbi pamoja na kupwa.
 
Mimi Sio msomi zaidi lakini Naona kama Kila mtu anaibua mambo mapya zaidi Kwani mawazo yangu naona upepo ndochanzo cha kupwa Kwa bahari
 
Ziwa Nyssa Lina mawimbi pamoja na kupwa.
Na mwezi ukiwa mkubwa mawimbi ni Mengi sana hata wavuvi hawawezi kuingia usiku kuvua ila asubuhi Hali inatulia kidogo
 
Gravt force kwenye maziwa haipo kabisa au ipo ndogo, nakama ipo kidogo mbona sijawah kuona kupwa hata kwakiwango kidogo kwenye maziwa??? Ispokuwa wakat wakiangazi ndo hupungua/unnoticed.

##je kiangazi kinaongeza mass ya maziwa nakusababisha gravt force yake kuwa kubwa??

Kaka hebu legeza akili na ujifungue ufahamu wako kidogo,

Nimesema hivi Force is direct proposinal to mass, yaani Mass ikiwa kubwa na Force nayo inakuwa kubwa, yaani unapofuta kilo mia za mchanga unatumia force kubwa kuliko kilo tano za mchanga,

So Bahari ni Kubwa na ina maji mengi sana, hivyo kwa sababu ya Mass yake basi Kunakuwa na Force kubwa inayoyavuta hayo maji mpaka yakavutika kuelekea ulipo Mwezi

Lakini kwa Maziwa, maji yake ni machache kulingana na ya Bahari, hivyo yana mass ndogo hivyo force inayotumika kuyavuta hayo maji ni ndogo sana kiasi kwamba yanaonekana kama hayavutiki kabisa au yanavutika kwa kiasi kidogo sana
 
Suali langu limelenga hivi...!!!
Kwakuwa mwezi,jua na dunia vikikaa mstari mmoja husababisha mawimbi kuongezeka..!! Kwahiyo nisahihi kuwa jua au mwez ukipatwa mawimbi huongezeka??
Kwanza naomba nikwambie kuwa, sio Jua, Mwezi wala Dunia ndio inayosababisha mawimbi, Mawimbi yanasababishwa na
1: Upepo
2: Natural interior au exterior geological process, kwa mfano kama kuna fault kubwa inatokea chini ya Bahari inasababisha wamimbi makubwa ambayo ndiyo yanasababisa kitu kama Tsunami, pia kuna volcanic eruptions zinasotokea chini ya bahari pia husababisha waves
 
Back
Top Bottom