- Thread starter
- #21
Ilikuwaje hadi ukaolewa nae pengine kutokana na mfumo katika jamii zetu kwamba wanawake hawana choice, unasubiri atakaye kutafuta.
Mwanaume wa kwanza anakutest akiona hufai anakuacha, wakikutest wawili watatu utaitwa malaya! Mwanaume hata akiwa nao kumi na sita, yeye ni kidume cha mbegu!
Ushauri: wala usimuudhi mwenzio, ondoka kama ifuatavyo ukachezewe na wanaume wengine. Hakuna mwanaume mzuri isipokuwa yule responsible na anayekujali kwa shida na raha; na hakuna mapenzi ila yaende compatibility, ila huyu mliye compatible kumpata ndio kasheshe.
Ushauri mzuri, asante sana mama.