Kwanza inaonesha mmeoana umri ukiwa umeshasogea kidogo na inavyoonesha we ushapata mtu mwingine
Yaani kama ulikuwepo. Hawezi kuomba ushauri wa amwache au asimwache. Sasa akiambiwa asimwache wakati akili imeshajitune kumwacha atasikiliza ushauri?
Hivyo asimuudhi mwenzie, aondoke kama ifuatavyo akachezewe na hao wanaume wengine.....after all huwezi pata mtu perfect..aso hili ana lile.