kupumua kwa tundu la nyuma

kupumua kwa tundu la nyuma

mate ni kondomu ya kujamba.So mtu akijamba ili usiwe ifected unajikinga kwa vimate
 
Kujamba ni moja ya starehe bana! Shida ni kuachia mbele za watu hata kama ni ile ya fyuuuuuuuuu! Ila jamvi hili nimelikubali, kuna watu wamepinda ile kinoma.
 
mimi nahisi ni mkwara tu wa mwili hamna madhara kama hutatema mate
 
hayo ni maumbile nafikiri, mwili ukisika harafu mbaya automatically huwa unatrigger mechanism ya kupambana nayo which in this case ina command mwili ugenerate mate kupunguza madhara.
Nafikiri mechanism hiyo ni similar na ile ya baadhi ya mimea ambayo ukiishika inajikunja! Ila tunaweza kuwauliza madaktari wanaweza kufafanua zaidi.
Okay hata kama ina-trigger ku-generate mate,kwanini usiyameze tu?
 
Hivi umewahi kujiuliza kwanini mtu akijamba anatema mate au alieko pembeni anatema mate, je kuna mahusiano gani kati ya harufu na mate? Je mate yanakua yamechafuka hataki kuyameza? Je akiyatema ndio harufu puani inaisha? Najiuliza sana

we huwa unafanya nn
 
mkuu Triple A, nadhani una matatizo ya metabolism, mtafute daktari wa binadamu akusaidie.
Kupumua kwa kutumia tundu la nyuma ni
involuntary action, upende usipende! Kinacho mata
ni the way unavyo control speed ya pressure ya mpumuo wako ikiwa utakutwa na hali hiyo mbele ya kadamnasi ya watu.

te te te te!!!!!
 
hacha kutema mate uone.kuna wengine wakijamba mate yanakutoka yenyewe..puuuu!
 
Back
Top Bottom