kupumua kwa tundu la nyuma

kupumua kwa tundu la nyuma

Kifuniko

Member
Joined
May 20, 2011
Posts
97
Reaction score
18
Hivi umewahi kujiuliza kwanini mtu akijamba anatema mate au alieko pembeni anatema mate, je kuna mahusiano gani kati ya harufu na mate? Je mate yanakua yamechafuka hataki kuyameza? Je akiyatema ndio harufu puani inaisha? Najiuliza sana
 
Hivi umewahi kujiuliza kwanini mtu akijamba anatema mate au alieko pembeni anatema mate, je kuna mahusiano gani kati ya harufu na mate? Je mate yanakua yamechafuka hataki kuyameza? Je akiyatema ndio harufu puani inaisha? Najiuliza sana

Ukiona anatema mate bila shaka atakuwa na ujauzito
 
hayo ni maumbile nafikiri, mwili ukisika harafu mbaya automatically huwa unatrigger mechanism ya kupambana nayo which in this case ina command mwili ugenerate mate kupunguza madhara.
Nafikiri mechanism hiyo ni similar na ile ya baadhi ya mimea ambayo ukiishika inajikunja! Ila tunaweza kuwauliza madaktari wanaweza kufafanua zaidi.
 
2 evry action there is an equal and opposite reaction.
 
"To every action there is equal and opposite reaction"..nadhani physics inahold hapo... action ya kujamba..ina result into reaction ya kutema mate
teh teh teh
 
kwann ujambe kwani ulilazimishwa kula kupita kiasi? Tangu nimepata ufaham cjawahi kujamba...lol.
 
inabidi ujambe ili ya fyuuu...!!taratibu.jambia mahakani uone.hamna wa kutema mate.mia
 
Duh! Kuna siku kadhaa nilizokuwa katika wilaya 1 ambako hakuna net ya cm, niliimis sana JF.
 
yaani ni bora tuwe tunatoa kamasi tukimaliza kupunguza harufu............hhahahah
 
Hivi kwani ukiyameza mate unajisikiaje baada ya kusikia harufu, je tumbo litakuuma?
 
Kama mtu anatema baada ya kusiki harufu mbaya ya mshuzi,je hapo kwenda yeye chooni ku.n.ya inakuwaje,si anajaza sink na mate.teh teh
 
Back
Top Bottom