Achana na tofauti ya kijinsia zipo tofauti nyingi mnoSincerely my father is typical Thelonious... Grew up najua men and women tuko tofauti lakini haimaanishi mwanamke ni kilaza infact mwanamke unaweza kufanya mengi mnoo
Tofauti zetu ni za kijinsia....
Mmmmmhunazunguka mzee niambie udhaifu wa mwanamke nikuelewe.
Utofauti wa mwqnamke na mwanamme hizo ni Gender rules sio udhiafu.
NotedMijadala yahusuyo jinsia na dini huwa yananipa uzito sana kuyajadili maana hayana muafaka kila mmoja anavutia kwake. Ngoja nibaki mtazamaji
Hana cha kujibu hapa kwa sababu amekariri.Nikuambie nitakukuta wapi hiyo siku kuwa serious kijana yaani nije kukutafuta nikuambie udhaifu wa mtu.
Niambie udhaifu wa mwanamke upo kwenye nini.
Very nice.Mimi naangalia uhalisia wa ninachokiona kwa macho yangu kwasasa hayo mambi ya kuumbwa na udhaifu nyie yachukueni.
Kuna wanawake vichwa vya familia, mwanaume mlevi familia hahudumi, watoto matumizi hatoi mke ndiye anahangaika tu. Huyu mwqnamme utamuita kichwa cha familia kisa tu imeqndikwa kwenye vitabu??
Zama za kusema mwanamke ni dhaifu labda uwe unajilinganisha naye na uwe umemzidi na sio fallacy generalization.
Kwani wewe hauna udhaifu wa aina yoyote yani kwa kifupi uko perfect mkuu?unajua ipo hivi mwanamke kwa asili ni dhaifu,hapa haitegemei ana mali au akili,kila mwanamke anaudhaifu wa kipekee kwa hiyo siwezi sema kuwa udhaifu wake ni huuu,hapana kwasababu wanatofautiana,kikubwa kama wewe ni mwanaume hakikisha unaishi kwa akili na mwanamke ili muweze kufika muendako,ful stop
Yaani acha tu!!uliniambia ni viazi mbatata nilicheka sana jana. Yani unakuta mtu hana point ya maana kutetea hoja yake anabaki kukimbilia kunukuu bible wakati hata bible yenyewe haijui shida sana. shida ni kwamba wamekariri.
Basi mkuu ameshakuelewa huyoWanaume siku hizi ndiyo tumekua dhaifu na tunazidi kuwa dhaifu. Udhaifu wa wanawake siku hizi unabakia kwenye mascularity tu na huu sio udhaifu ni toafuti za jinsia.. vingine wanakuzidi wewe
Pesa,elimu,Akili za maisha, kila kitu. Sasa kiumbe chenye nguvu kitaanza kujadili udhaifu wa kiumbe dhaifu wtf!!
Kama thinking capacity yako ndio poor namna hii, sidhani kama unaweza kupata mwanamke amabae anauwezo mkubwa kufikiri na kupambanua, utapata level yako na utaendelea kuamini hivyo hivyoyaan nasema hivi we wasifie utakuja kunambia,mwanamke hata awe na dunia nzima hiii uwezo wake ni weak sana ukilinganisha na mwanaume asiye na kitu
Mwanamke ni mwanamke tu hata awe ana mabawa...kuna ka demu hapa nilipopanga ni kazuri ila kana akili ndogo sijapata kuona...ilikuwa jpl...kakaniomba elf 5, nikaona kukapa bure ni makosa nikakapa nguo chache kanifulie...nikaenda zangu ..nimekuja kurudi j4 bado hakajafua...kalivoniona kakaanza kuzifua..kakaanika, jioni mvua inanyesha hakakuzianua..zikalowa ikawa j5...kakaziacha pia zikalowa hadi jana...yani mpaka muda huu zipo kwenye kamba kweli wanawake ni wanawake tu...haka kabinti kana matako makubwa lakini akili ndogo kama punje ya ulezi....
Kwa hapa ulipofikia sikuungi mkono, kabisa upo wrong, wewe inawezekana unaabudu mwanamke. Huwezi kumdogosha Mungu kwa kiwango hiki, ww ni mpuuzi aisee, naskia ipo dini wanaabudu p***chi usijekuwa unatafuta wafuasiAliyewaumba hakuwahi kuwapa nafasi na au hata kuwahesabu.
Ila leo wanawake wana kaya zao kama wanaume tulivyo, wana wahubiria hadi makanisani kama tufanyavyo wana nguvu na ushawishi kama tulivyo.
Aliyewaumba alikuwa hajasoma nyakati tu. niite mario ila naweza kuwa babayako.
Eti aliyewaumba hakusoma nyakati?Kwa hapa ulipofikia sikuungi mkono, kabisa upo wrong, wewe inawezekana unaabudu mwanamke. Huwezi kumdogosha Mungu kwa kiwango hiki, ww ni mpuuzi aisee, naskia ipo dini wanaabudu p***chi usijekuwa unatafuta wafuasi