Kupima HIV ni mara ngapi?

Siande

Senior Member
Aug 29, 2013
194
58
Hello wanajamvi naombeni kuuliza kupima hiv kunafanyika mara ngapi ili kuprove kabisa kuwa mtu ni mzima? Je kuna vipimo vya kuweza kupima mara moja tuu na kuprove kuwa mtu ni mzima? Naombeni mchango wenu maana nimeona watu wakipima mara moja tuu.
 
Ilinyo ni kwamba unapokuja kupima hospitali kwa mara nyingi huwa kuna vipimo viwili vukubwa tunatumia. CHA kwanza ni HIV 1/2 determine na cha pili ni UNIGOLD. Sasa basi Kwa Mtu yeyote anayekuja kupima kwanza inaanza kutumika determine ambapo kipimo hiki kikiwa negative then tunasema mtu hana maambukizi, lakini tunamshauri arudi baada ya miezi mitatu ili apimwe tena kuhakikisha kwani inawezekana Kabisa alikuwa kapata maambukizi wiki moja nyuma ambapo kwa kutumia determine huwezi kuona. Atakaporudi baada ya miezi mitatu akawa tena negative then tunaweza ku conclude kuwa mtu hana maambukizi japo atapewa counselling jinsi ya Kuishi na kujilinda asipate maambukizi. Lakini pia kuna kile kipimo cha pili ambapo kinatumika kufanya confirmation Kama mtu yuko positive baada ya kipimo cha kwanza kuwa positive. Natumaini nimejaribu kujibu swali lako


Sent from my iPad using JamiiForums
 
Kwani wew umeshapima mara ngapi?? Maana kama mtu unajiamini wew na njia zako unazopita hata mara 3 kwa mwaka inapendeza ila kama ndio wale wa hit and run, utakufa na presha, maana pale sio nyumba ya sanaa
 
kama unajijua unaweza kuanza kutumia kinga kwa kila tendo na kuwa makini kapime ujilinde.

kama ni mtu wa kupiga kavu au muda umelewa unasahau ndomu, au demu ukakaa nae miezi miwili unamwamini tu na kupiga nakushauri usiende kupima. kwa nini kuna watu wanapima wanatoka angaza wazima hofu imeisha alafu usiku huo huo anacheza gemu ya hatari either ndomu kupasuka au kutotomia na asubuhi akiamka na hofu ile ile.
 
Hello wanajamvi naombeni kuuliza kupima hiv kunafanyika mara ngapi ili kuprove kabisa kuwa mtu ni mzima? Je kuna vipimo vya kuweza kupima mara moja tuu na kuprove kuwa mtu ni mzima? Naombeni mchango wenu maana nimeona watu wakipima mara moja tuu.

Sikuwa nimeelewa hilo neno hadi watu walivyoanza ku-comment, next time andika HIV.

Back to the point, wataalamu wanashauri ukipima leo majibu yakitoka(vyovyote yatakavyokua) rudia kupima baada ya miazi mitatu sababu wanaamini kama unaweza ukawa umeambukizwa afu ukienda kupima siku chache badae(sijui ngapi) vipimo vikaonyesha uko safi, so ni vyema kusubiri miezi mingine 3 ndo uhakikishe.

Inawezekana mambo ni tofauti now kutokana na ukuaji wa technology ila sijui sahivi ikoje.
 
Ilinyo ni kwamba unapokuja kupima hospitali kwa mara nyingi huwa kuna vipimo viwili vukubwa tunatumia. CHA kwanza ni HIV 1/2 determine na cha pili ni UNIGOLD. Sasa basi Kwa Mtu yeyote anayekuja kupima kwanza inaanza kutumika determine ambapo kipimo hiki kikiwa negative then tunasema mtu hana maambukizi, lakini tunamshauri arudi baada ya miezi mitatu ili apimwe tena kuhakikisha kwani inawezekana Kabisa alikuwa kapata maambukizi wiki moja nyuma ambapo kwa kutumia determine huwezi kuona. Atakaporudi baada ya miezi mitatu akawa tena negative then tunaweza ku conclude kuwa mtu hana maambukizi japo atapewa counselling jinsi ya Kuishi na kujilinda asipate maambukizi. Lakini pia kuna kile kipimo cha pili ambapo kinatumika kufanya confirmation Kama mtu yuko positive baada ya kipimo cha kwanza kuwa positive. Natumaini nimejaribu kujibu swali lako


Sent from my iPad using JamiiForums

kutwa mara 3 kwa siku 365
 
Ilinyo ni kwamba unapokuja kupima hospitali kwa mara nyingi huwa kuna vipimo viwili vukubwa tunatumia. CHA kwanza ni HIV 1/2 determine na cha pili ni UNIGOLD. Sasa basi Kwa Mtu yeyote anayekuja kupima kwanza inaanza kutumika determine ambapo kipimo hiki kikiwa negative then tunasema mtu hana maambukizi, lakini tunamshauri arudi baada ya miezi mitatu ili apimwe tena kuhakikisha kwani inawezekana Kabisa alikuwa kapata maambukizi wiki moja nyuma ambapo kwa kutumia determine huwezi kuona. Atakaporudi baada ya miezi mitatu akawa tena negative then tunaweza ku conclude kuwa mtu hana maambukizi japo atapewa counselling jinsi ya Kuishi na kujilinda asipate maambukizi. Lakini pia kuna kile kipimo cha pili ambapo kinatumika kufanya confirmation Kama mtu yuko positive baada ya kipimo cha kwanza kuwa positive. Natumaini nimejaribu kujibu swali lako


Sent from my iPad using JamiiForums

Ok,ina maana kama mtu anahitaji kufunga ndoa je hiyo miezi mitatu inatosha kuprove au afanyeje?
Mkuu Ngahepahi endea kufafanua hapa.
 
Kuepuka gharama za kupima mara mbilimbili na kuokoa muda, kama umepiga kavu sehemu na una wasiwasi unatakiwa usubiri miezi mitatu ndo ukipima mara moja tu utapata majibu ya ukweli.
 
Back
Top Bottom