Friedrich Nietzsche
JF-Expert Member
- Sep 22, 2022
- 1,145
- 1,918
Hello
Mwezi ulopita nimetoka kupokea majibu ya kipimo cha HIV kwa njia ya ELISA! Aisee hatari
Kuna vipimo viwili vya HIV
Rapid test ndio hivi wanavyopima kwene hospitali kawaida au mashirika ya kupima HIV
Ufanisi wake : kutambua maambukizi mapya miezi mitatu (ingawaje hata chin ya hapo)
DNA test hiki mara nyingi kipo sehemu chache sana na kinatumiwa tu kwa sababu maalum kama vile kuhakiki majibu tata, Damu salama na upon request
Ufanisi wake: Maambukizi ndani hata ya Siku tatu
KWANN ELISA?
Mwezi wa 6 ulikua ni mwezi wa kibabe kwangu maana nilipitia matatizo mengi sana!!
Kubwa kuliko kuna huyu mwanamuke wa siku nyingi tulikua tunachat mtandaoni akaniambia wamefunga chuo yuko free anataka nauli tu!!
Nikamtumia mara paaa kashafika kaja had nilipokua naishi…..
Usiku mtanange ukaanza lakini cha kwanza nilikumbuka ndom kama kawaida kipindi cha kwanza kikaisha.
Lakini ilikua atakaa kwa siku 2 hivo ndomu kila kipindi niligundua ni uongo nikaona hapa bora Nimpime nijue afya yake!
Aisee !! Kumwambia ishu ya kupima akaawa mkali mara nina phobia sijui nini sababu kibao!
Wasiwasi ukaniingia tukapiga kipndi cha pili na ndom pia,,,sasa ile hali ya mtu kuogopa kupima ilinitisha ikabidi nimfukuze.
Kumbuka hapo tushapiga oral za kutosha (sikupata ndom ya mdomo,fingering na nilihisi vidole vyaweza kua na michubuko ya kutosha,) duuh nikajipa moyo na ndom nilotumia
ITAENDELEA
Mwezi ulopita nimetoka kupokea majibu ya kipimo cha HIV kwa njia ya ELISA! Aisee hatari
Kuna vipimo viwili vya HIV
- Rapid test
- DNA test
Rapid test ndio hivi wanavyopima kwene hospitali kawaida au mashirika ya kupima HIV
Ufanisi wake : kutambua maambukizi mapya miezi mitatu (ingawaje hata chin ya hapo)
DNA test hiki mara nyingi kipo sehemu chache sana na kinatumiwa tu kwa sababu maalum kama vile kuhakiki majibu tata, Damu salama na upon request
Ufanisi wake: Maambukizi ndani hata ya Siku tatu
KWANN ELISA?
Mwezi wa 6 ulikua ni mwezi wa kibabe kwangu maana nilipitia matatizo mengi sana!!
Kubwa kuliko kuna huyu mwanamuke wa siku nyingi tulikua tunachat mtandaoni akaniambia wamefunga chuo yuko free anataka nauli tu!!
Nikamtumia mara paaa kashafika kaja had nilipokua naishi…..
Usiku mtanange ukaanza lakini cha kwanza nilikumbuka ndom kama kawaida kipindi cha kwanza kikaisha.
Lakini ilikua atakaa kwa siku 2 hivo ndomu kila kipindi niligundua ni uongo nikaona hapa bora Nimpime nijue afya yake!
Aisee !! Kumwambia ishu ya kupima akaawa mkali mara nina phobia sijui nini sababu kibao!
Wasiwasi ukaniingia tukapiga kipndi cha pili na ndom pia,,,sasa ile hali ya mtu kuogopa kupima ilinitisha ikabidi nimfukuze.
Kumbuka hapo tushapiga oral za kutosha (sikupata ndom ya mdomo,fingering na nilihisi vidole vyaweza kua na michubuko ya kutosha,) duuh nikajipa moyo na ndom nilotumia
ITAENDELEA