Wanaopiga wake zao ni ushamba, uonevu au mapenzi?
Wanaopiga wake zao ni ushamba, uonevu au mapenzi?
Kumpiga mke ni mapenzi ila mke kumpiga mumewe ni uonevu..
Na kama wakipigana mbele ya watoto basi huo ni ushamba...
Source:Mimi mwenyewe mkurya
hivi mpaka karne hii wapo wanaowadunda wake zao!!
nashangaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaah!pacha wangu Snowball anasema ni mapenzi!
Kumpiga mke ni mapenzi ila mke kumpiga mumewe ni uonevu..
Na kama wakipigana mbele ya watoto basi huo ni ushamba...
Source:Mimi mwenyewe mkurya
too good huja-classify kupiga kupi....mimi napigaga sana.... nampiga mke wangu busu,,,,nampiga shopping ya nguvu.....nampiga bao.....This is my way
kule kwetu wanaita mkoa wa wanaume
Ahaaaaaaaa ndo maana yaani nilikuwa nimejitayarisha kubwatuka,ila ulivyosema we mkurya tu breki niliyopiga haina mfano.Kumpiga mke ni mapenzi ila mke kumpiga mumewe ni uonevu..
Na kama wakipigana mbele ya watoto basi huo ni ushamba...
Source:Mimi mwenyewe mkurya
too good huja-classify kupiga kupi....mimi napigaga sana.... nampiga mke wangu busu,,,,nampiga shopping ya nguvu.....nampiga bao.....This is my way
Kumpiga mke ni mapenzi ila mke kumpiga mumewe ni uonevu..
Na kama wakipigana mbele ya watoto basi huo ni ushamba...
Source:Mimi mwenyewe mkurya
Hewalaaaaa Asabaya hapo umenena kabisa yaani haingii akilini kabisa.Hebu toatoa somo lieleweke. kazia haswa kwa wenzetu wakina tatamura maanake hao naona ndo kuna shughuli pevu kwenye hilo swala.Ushamba na ulimbukeni,wallahi nashindwa khasa kufahamu unampigaje mkeo halafu unakuja kulalanae?