Ubungoubungo
JF-Expert Member
- Jul 28, 2008
- 2,502
- 739
nashindwa kuchangia, kwasababu nina interest hapa, NILISHAWAHI KUPIGA MKE tena kwa hasira kabisa. ilikuwa zamani, enzi za ujinga, miaka miwili hivi baada ya kuoana kwa ndoa, nafikiri kila mmoja alikuja na malezi yake ya kwao, mara waifu nikaona kama anataka kunipanga kichwani, kuongea kwa mdomo ikashindikana mabishano mabishano hasira na kudharauliana, hadi kikanuka tena haswa. kwa muda kama wa miezi sita nilikuwa kama mbogo ndani ya nyumba, hadi demarcation/mipaka/limit zilivyojulikana kwa kila mtu, akanisoma vizuri na kunijua mipaka yangu na jinsi ninavyopenda kuonekana mwanaume na si kuwa chini yake, na mimi nikamsoma, nikakaa chini na kumpa lecture. aliamua kuishi kulingana na jinsi nilivyo, kile kiburi cha kwao nilikata mzizi sasa tunapendana sana sana, ninampenda hawa na yeye pia, na maisha yetu ni mazuri mno tunaishi kama mapacha vile. watoto wetu wanafurahia upendo wetu.
kwa mwanaume halisi, aliyeoa mwanamke halisi, hakuna ambaye hajawahi kupiga mke, kama hutampiga kwa ngumi, utampiga kisaikolojia (psychological torture) ambayo ni mbaya zaidi kwasababu inaweza kuleta hadi frustration. bora ukirusha kofi unaweza kujifanya unaomba msamaha badae kwamba ilikuwa hasira tu yaishe, na hapohapo msg inakuwa sent, anajua wakati mwingine ukipandwa na hasira huwa kinanuka hivyo kiongozi wa nyumba anakuwepo na mama wa nyumba anakuwepo...
kwa mwanaume halisi, aliyeoa mwanamke halisi, hakuna ambaye hajawahi kupiga mke, kama hutampiga kwa ngumi, utampiga kisaikolojia (psychological torture) ambayo ni mbaya zaidi kwasababu inaweza kuleta hadi frustration. bora ukirusha kofi unaweza kujifanya unaomba msamaha badae kwamba ilikuwa hasira tu yaishe, na hapohapo msg inakuwa sent, anajua wakati mwingine ukipandwa na hasira huwa kinanuka hivyo kiongozi wa nyumba anakuwepo na mama wa nyumba anakuwepo...