habari wa ndugu
nina mdogo wangu nyumbani ni wa kiume (30yrs) kuna tabia ya tofauti nimeiona nayo ni kupewa vyakula na mazawadi na mke wa jirani yangu wakati mwingine anaenda huko na kuongea yani hii tabia inanitia wasi wasi haswa hili swala la kupewa chakula nakuta mahot pot maziwa nk nyumbani kwangu jana nimemuuliza kwa nini unapokea vyakula toka kwa mke wa mtu alinijibu kama naletewa nifanyaje? nikatae?nikajaribu kumwelewesha sio vizuri badaye nikatafuta rafiki yake na kumuuliza huyu dogo ana mahusiano gani na huyo mke wa jirani yangu yule dogo akaniambia yani mpaka mapilau matunda nk anagewa na huwa anaingia mara kwa mara kwa huyo mke wa mtu sijui anafanyaga nini da hebu naombeni mawazo yenu wadau namna ya kumsaidia huyu dogo yeye anakataa hana ishu naye but mimi siamini kama vyakula anagewa tu ushahidi sina ila nataka kumsaidia dogo asije akafa kijinga.asanteni
nina mdogo wangu nyumbani ni wa kiume (30yrs) kuna tabia ya tofauti nimeiona nayo ni kupewa vyakula na mazawadi na mke wa jirani yangu wakati mwingine anaenda huko na kuongea yani hii tabia inanitia wasi wasi haswa hili swala la kupewa chakula nakuta mahot pot maziwa nk nyumbani kwangu jana nimemuuliza kwa nini unapokea vyakula toka kwa mke wa mtu alinijibu kama naletewa nifanyaje? nikatae?nikajaribu kumwelewesha sio vizuri badaye nikatafuta rafiki yake na kumuuliza huyu dogo ana mahusiano gani na huyo mke wa jirani yangu yule dogo akaniambia yani mpaka mapilau matunda nk anagewa na huwa anaingia mara kwa mara kwa huyo mke wa mtu sijui anafanyaga nini da hebu naombeni mawazo yenu wadau namna ya kumsaidia huyu dogo yeye anakataa hana ishu naye but mimi siamini kama vyakula anagewa tu ushahidi sina ila nataka kumsaidia dogo asije akafa kijinga.asanteni