Paul mathew
JF-Expert Member
- Jan 20, 2012
- 275
- 60
Habari zenu wana jf,
Nimeoa na nina miaka 4 ya ndoa yangu, kadri siku zinavyokwenda napunguziwa dozi ya mapenzi, zilizopita ilikuwa 5 mpaka 6 per month sasa hivi ni 1per month na anakuwa mkali yaani mpaka nibembeleze kama naomba employment...
Ukipewa unaambiwa utapata tarehe kama hi next month nampenda sitaki kumsaliti naheshimu ndoa yangu.
Naombeni ushauri nifanyaje walau niongeze dozi
Nimeoa na nina miaka 4 ya ndoa yangu, kadri siku zinavyokwenda napunguziwa dozi ya mapenzi, zilizopita ilikuwa 5 mpaka 6 per month sasa hivi ni 1per month na anakuwa mkali yaani mpaka nibembeleze kama naomba employment...
Ukipewa unaambiwa utapata tarehe kama hi next month nampenda sitaki kumsaliti naheshimu ndoa yangu.
Naombeni ushauri nifanyaje walau niongeze dozi