Kupendwa sana na mtu usiyempenda

Kupendwa sana na mtu usiyempenda

Wanaume ata sijui mnataka nini.... Alafu baadae mnaanza kuwatafuta wale mliowatenda. Ujue mwanamke akisema basi ni bs kweli kweli . ataumia kwa muda lkn atakuja mpt anayemfaa na ndipo majuto yanakuwa ni mjukuu. Mwambie tu ukweli mapema kabisa usimpotezee muda. We subr utakayempenda vizuri vizuri

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mapenzi yanakuwa mtihani sana kwangu,nataman nimpende kama anavyonipenda lakin nashindwa.
Muache huyo mwanamke aende zake, maana hata ukimuoa kwakua hukumpenda utamfanyia vituko na madhara yake yanaweza kuwa makubwa baadae hata kwa watoto wenu kama mkijaliwa watoto. Usimuoe maana hata maandiko yanasema mwanaume anatakiwa ampende mkewe na mwanamke amuheshimu mumewe.
 
Habari zenu wana JamiiForums

Naomba kushare na ninyi hiki kitu maana kimekuwa kikinisumbua sana. Nimekuwa kwenye mahusiano ya kimapenzi na dada mmoja ambaye ametokea kunipenda sana na kweli yule dada ana sifa zote za kuwa mke ila tatizo liko kwangu moyo wangu unakuwa mzito sana kila nikijitahidi nioneshe mapenzi ya kutoka moyoni najikuta nashindwa kabisa na hisia zangu kwake wakati mwingine zinaisha kabisa.

Kila nikijilazimisha nifanye maamuzi ya process za ndoa najikuta moyo unagoma kabisa, yaani pamoja na kwamba ananipenda sana na yuko tayari kufanya chochote kwaajili yangu lakini mimi moyo wangu haupo kabisa kwake. Kila nikijitahidi nimpende najikuta nashindwa.

Naomba kama kuna watu walishawahi kupitia hii changamoto tushare uzoefu ili niweze kuamua kama ninaendelea naye au kila mtu
Acha mara moja . Ndoa sio maigizo mkuu utaumia sana
 
Habari zenu wana JamiiForums

Naomba kushare na ninyi hiki kitu maana kimekuwa kikinisumbua sana. Nimekuwa kwenye mahusiano ya kimapenzi na dada mmoja ambaye ametokea kunipenda sana na kweli yule dada ana sifa zote za kuwa mke ila tatizo liko kwangu moyo wangu unakuwa mzito sana kila nikijitahidi nioneshe mapenzi ya kutoka moyoni najikuta nashindwa kabisa na hisia zangu kwake wakati mwingine zinaisha kabisa.

Kila nikijilazimisha nifanye maamuzi ya process za ndoa najikuta moyo unagoma kabisa, yaani pamoja na kwamba ananipenda sana na yuko tayari kufanya chochote kwaajili yangu lakini mimi moyo wangu haupo kabisa kwake. Kila nikijitahidi nimpende najikuta nashindwa.

Naomba kama kuna watu walishawahi kupitia hii changamoto tushare uzoefu ili niweze kuamua kama ninaendelea naye au kila mtu ajue lake.
Ukimuoa utajuta mara moja tena kidogo sana na utampenda baadae sanasana. Ukimuacha utajuta mara mbili mpaka tatu...na inawezekana ikawa mpaka mwisho wa maisha.
 
Back
Top Bottom