Kupendwa sana na mtu usiyempenda

Kupendwa sana na mtu usiyempenda

Binafsi nishajisemea nitampenda yoyote atakayenipa Attention yake hata kama ana sura kama ya big show (sorry nobody ugly ).
Lakini hata hao wa kunipa attention hamna kila naempenda kwake nakua mbingu na ardhi..
Usichezee bahati kiongozi..Utakumbuka halfu useme "Ningejua" mind you hakuna neno au sentesi yenye maana ikianza na neno ningejua
Dah! Unamoyo ndugu!
Mi huyo ugly face nitamfanya kuwa rafiki tu swala la yeye kunipenda nami kumpenda,nitampenda kama rafiki ila kimapenzi nasema kabisa mi mbaguzi na ni haki yangu kubagua ila ubaguzi wangu sio wa kudhihaki au kumfedhehesha mtu yeyote!
Napenda Toto fulani hivi potabo zenye pozi za kipekee chuchu saa sita msambwanda wa wastani kiujumla yani mzuri😂

Mkuu usiende putaputa utakuja kujuta we sema tu yoyote shauli yako😜
 
Uliingiaje nae kwenye mahusiano? Kama zilikuwa genye basi muoe tu genye ziendelee kutendewa haki.
 
Binafsi nishajisemea nitampenda yoyote atakayenipa Attention yake hata kama ana sura kama ya big show (sorry nobody ugly ).
Lakini hata hao wa kunipa attention hamna kila naempenda kwake nakua mbingu na ardhi..
Usichezee bahati kiongozi..Utakumbuka halfu useme "Ningejua" mind you hakuna neno au sentesi yenye maana ikianza na neno ningejua
Sawa na huyu single mama mmoja, kinganganizi sijawahi ona, mbaya afu ana mtoto sasa nyodo nikinuacha hakubali nikijifanya wacha nimfariji anaanza jeuri.

Nadhani hanijui kuwa mimi ni nishai wacha nitamtolea uvivu.. [emoji205]

Sent using Jamii Forums mobile app
Okey.
 
Wala usijipe shida umwambie wewe huwezi kuwa nae.

Wewe ni wale wanaume mpaka miaka 50 hawajaoa, dunia ni hakuna chaguo lao liko mbinguni.

Tena mwache Leo, kufika mwakani atakuwa akishakusahau. Ukizingati sisi wanawake tu napenda kwa kuvumilia.

Tunaambiwa ma mama zetu kuwa mahusiano ni uvumilivu, basi nikuhakikishie hiyo Dada anakupenda kwa kukuvumilia.amejikuta amekuzoea.

Utakapokuwa unasoma hii comment yangu jiangalie kuanzia ukucha hali kichwani....... Vip umepona nini? Hujaona mapungufu ulionayo? + Yale mengine yasionekana?....

Ukishamaliza kujiangalia jipe jibu ni kiasi gani nae anakuvumilia basi amekuzoea.

Mmh hili povu nikalifulie nguo.
 
Hio hali maana yake ipo hivi huyo mwanamke ipo siku atapata wa kumpenda zaidi ya wewe anavyokupenda. Na watapendana na kufunga ndoa ya milele hapo ndipo utakapo kuja kutamani arudi nae kishaolewa na hana time na wewe. Utaikumbuka hii comments yangu ipo siku


Ndukiiiii 🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️
 
a
Binafsi nishajisemea nitampenda yoyote atakayenipa Attention yake hata kama ana sura kama ya big show (sorry nobody ugly ).
Lakini hata hao wa kunipa attention hamna kila naempenda kwake nakua mbingu na ardhi..
Usichezee bahati kiongozi..Utakumbuka halfu useme "Ningejua" mind you hakuna neno au sentesi yenye maana ikianza na neno ningejua
asantee kwa ushauri kiongozi
 
Ni vyema kupendwa kuliko kupenda, oa chap. Siku ukioa unayempenda then akupe stress humo ndani, sisi tutakuwepo kukushauri usijinyonge.
ha ha ha ha ha haa ushauri wako nimeuchukua
 
Wala usijipe shida umwambie wewe huwezi kuwa nae.

Wewe ni wale wanaume mpaka miaka 50 hawajaoa, dunia ni hakuna chaguo lao liko mbinguni.

Tena mwache Leo, kufika mwakani atakuwa akishakusahau. Ukizingati sisi wanawake tu napenda kwa kuvumilia.

Tunaambiwa ma mama zetu kuwa mahusiano ni uvumilivu, basi nikuhakikishie hiyo Dada anakupenda kwa kukuvumilia.amejikuta amekuzoea.

Utakapokuwa unasoma hii comment yangu jiangalie kuanzia ukucha hali kichwani....... Vip umepona nini? Hujaona mapungufu ulionayo? + Yale mengine yasionekana?....

Ukishamaliza kujiangalia jipe jibu ni kiasi gani nae anakuvumilia basi amekuzoea.

Mmh hili povu nikalifulie nguo.
Dada mbona kama ushauri wako umenigusa hivi,uliposema hiyo 50yrs moyo umestuka sana,asantee kwa ushauri mzuri natamani nije DM.
 
Nilipitia huu mtihani ila pia nahisi niliufanya vibaya.

Mdada alikuwa wife material na alinipenda hasa ingawa mimi sikuwa nampenda akaja akanitega mpaka mimba ili nimuoe.

Kila nikilazimisha nafsi naona iligoma kabisa kumuelewa hivyo nilimuacha na nilienda kuoa sehemu nyingine.

Nawahudumia yeye na mtoto na bado she still has a dream kwamba atakuja kuolewa na mimi.

Nilimwambia ukipata mume tafadhali olewa sipendi uishi hivi lakini imani yake ipo kwangu.

So mkuu usilazimishe nafsi ukiona moyo unagoma move on kabla haujafika mbali zaidi na huyo Mrembo.

sent using Simenzi mayai
 
Ushauri:
Oa mwanamke anayekupenda sio unayempenda alafu yeye hakupendi. Kupata mwanamke ambaye wewe unampenda na yeye anakupenda kazi sana siku hizi, unaweza ukabahatisha ukadhani amekupenda kumbe kapenda pesa au mali. Unapokaa na mwanamke na unapozidi kuwa mkubwa kiumri na kiakili utaanza tambua kuwa unampenda. Jioe muda nae, usioe kwanza ila jipe muda nae kama mwaka au miwili kama nae ana subira, kama hana hana subira anaweza huyo ndege akaruka usimpate tena.
 
Back
Top Bottom