Wewe tafuta hela ukishafika hiyo 50 pesa ndo zitakubusti, mwanamke utampata, ila kama una 50 ndo kwanza huna hata nyumba, bado unapanda daladala za Mbagala, wadogo zako hukuwasomesha. Pole sana.
Note: wanaume usisahau huu ukweli ingawa unauma
" mwanamke Wa kwanza nae maisha, namaanisha huna kitu chochote ni yule uliemuoa akiwa na umri wa 18-25 na wewe ukiwa under 30 tofauti na hapo kubali matokeo, kwamba kama ulishindwa kuoa muda ule na wewe ulikuwa unaangaika na dunia sasa umekutana na mwanamke ana 35 wewe una 40 mkapenda wewe oa tu. Ya kumsimanga kuwa wanawake wanapenda hela na wanaume waliofanikiwa, wewe yameze tu maana ilibidi uoe mapema yakakushinda. Tofauti na hapo kaoe mbinguni.😁😁😁😁😁😁😁
Nb. Mm hela nazipenda, mambo ya kujiosha hapa Jf kuwa oh mm sipendi hela ni unafiki. Hakuna asiependa mambo mazuri.😀😀😀😀
Hii corona sijui kwa nini inaniharibia ndoto zangu