Gorgeousmimi
JF-Expert Member
- Jun 21, 2010
- 9,296
- 7,688
Mhhh thats nasty!!!!
Mhhh thats nasty!!!!
ha ha ha ndifwa kwa kicheko.Kama jina lako!
He he he lolKumbe hayo ndio mapenzi?
Fikra zangu ziliwaza mbali kuliko hivo....
He he he lol
Kabisa mi ni burudani...wengine wanapigana mabusu na hata hawapendani!!Shoga angu au nakosea? Wewe wajua kupendana ni kupi?
Hayo mabusu ni burudani tu....
he we Jerrymsigwa!!!!:shocked:Mzizi hakuna ya waafrika?
Kumbe hayo ndio mapenzi?
Fikra zangu ziliwaza mbali kuliko hivo....
​Fikra zako ziliwaza nini kuhusu mapenzi farkhina?
farkhina uko wapi nikuoe????????Ni kujali to each other,kujitolea muhanga kufanya vitu ambavyo mwenzio anapenda ilimradi tu mwenzio anafurahi kuwa na wewe,uaminifu,kuvumiliana katika hali zote shida na raha,na mengine mengi tu BAK hata nkisema hayeshi...hayo mambo ya kubusiana sijui makorokoro gani watu wanafanya tu hata bila ya mapenzi na wala hatuwezi kuita ndio kupendana.....mfano baina ya dada poa na customer wake..
But nliya mention ndio mapenzi..hizi ni fikra zangu tu...
Kwangu mie mapenzi ni zaidi ya hivo vitu...au sijui naota lol