Bonny
JF-Expert Member
- Feb 21, 2013
- 13,370
- 29,990
Hebu tumia hiyo nahis zitafika bila kikwazo jam itakua sio kubwa ah ah ah
ndio maaana napendaga pm unaona mpaka sasa msg haijawa deliverd....
Hebu tumia hiyo nahis zitafika bila kikwazo jam itakua sio kubwa ah ah ah
hivi kweli wewe na akili yako unawezaje kulipenda limtu umekutanalo ukubwani bhana si bora umpende mama yako aliyekubeba tumboni miezi tisa.Habari wana jamvi,
Its almost a year sasa nimekuwa na mahusiano ya kimapenzi na mwanaume kwa mara ya kwanza. Hali iliyopo sasa nahisi kufa kwa mawazo, ninashinda nalia peke yangu, sometimes siwezi kula naona niko peke yangu duniani.
Tumekuwa na migogoro ya hapa na pale chanzo kila mmoja akimwona mwenzie msaliti, Binafsi kuna vitu niliviona, sikupenda kabsa though aliaribu kunielekeza but sikutaka kuelewa because niliona havimake sense, at the same time alikuwa anaongea maneno fulan kama vile namsaliti ivi nilichukulia kama utani coz sio kweli.
Finally tuliamua kila mtu ashike 90 zake, binafsi napata shida sana nateseka sana, uwepo wake nahitaji lakini pia sipendi kusalitiwa, naogopa kumwonyesha kiasi gani namuhitaji.
nimejaribu kujkeep busy kufanya vitu tofauti lakini hali iko palepale.
Naombeni msaada wa ushauri nifanye nini niwe katika hali ya kawaida.
una roho mbaya ww, hujui kuwa mimi nakupendaga sanaPm hazitoki ah ah ah
Asante kwa upendo wako ubarikiweuna roho mbaya ww, hujui kuwa mimi nakupendaga sana
Amen! barikiwa na wewe pia, tupendane maisha yenyewe mafupi.Asante kwa upendo wako ubarikiwe
Mmmmmmh........hebu niambie umri wako pm kwanza, usimpende mtu kiasi kwamba ukiachana naye unakuwa huna option, fanya hivyo!
na utamu juu... hata wewe nakukaribisha kama hutojaliPm uko.. .atatoka salama binti wa watu...
Hapana .....siji uko ....na utamu juu... hata wewe nakukaribisha kama hutojali
unaogopa nini dadaakeHapana .....siji uko ....
Duh..Fanya hivi Tutsi gl;
- tembelea sana jukwaa la siasa, intelligence, ujasiriamali na mengine yafananayo na hayo. MAANA YANGU: jiepushe na mazungumzo ya mahusiano na mapenzi kwa sasa.
- ANDIKA (PUT IT ON PAPER): Wanasema wataalamu, ukiweza kuandika hisia zako kwenye karatasi utaweza kuzisahau haraka. Kama sio mwandishi nihaditihie tu mkasa wako tuandike wote itakuwa bonge la hadithi.
- JIFUNZE KITU KIPYA: kuna filamu moja niliangalia, mwanaume alikuwa na shida katika mahusiano yake akachukua jukumu la kujifunza lugha mpya. Mimi hujifunza kozi mpya! Yaani lengo ni kuipa akili yako kitu kipya cha kufurahia kufanya ( @nyaningabu utanisamehe niongee kiingereza hapa)..'something that makes you look forward to..'. Kwa kuanzia pitia hizi sites: www.coursera.org na www.en.duolingo.com - ni bure na utajifunza mambo mengi ya 'fields' tofauti tofauti ikiwemo lugha yeyote mpya bure.
Nadhani tuanzie hapo...!
Habari wana jamvi,
Its almost a year sasa nimekuwa na mahusiano ya kimapenzi na mwanaume kwa mara ya kwanza. Hali iliyopo sasa nahisi kufa kwa mawazo, ninashinda nalia peke yangu, sometimes siwezi kula naona niko peke yangu duniani.
Tumekuwa na migogoro ya hapa na pale chanzo kila mmoja akimwona mwenzie msaliti, Binafsi kuna vitu niliviona, sikupenda kabsa though aliaribu kunielekeza but sikutaka kuelewa because niliona havimake sense, at the same time alikuwa anaongea maneno fulan kama vile namsaliti ivi nilichukulia kama utani coz sio kweli.
Finally tuliamua kila mtu ashike 90 zake, binafsi napata shida sana nateseka sana, uwepo wake nahitaji lakini pia sipendi kusalitiwa, naogopa kumwonyesha kiasi gani namuhitaji.
nimejaribu kujkeep busy kufanya vitu tofauti lakini hali iko palepale.
Naombeni msaada wa ushauri nifanye nini niwe katika hali ya kawaida.
Good advice jje's !Pole mpendwa kwa sasa jaribu kufuta kumbukumbu zake zote kama pics na msgs zote. pia jaribu kukwepa uwepo wake karibu nawe.
Wanasema kumsahau mtu unaempenda ni kama kumkumbuka mtu ambaye humjui.
But God is always good, wapendwa wetu wanatutoka duniani na bado Mungu anatupa uwezo wa kusahau yale maumivu.
Jipe moyo mdogo angu na ujue furaha ya moyo wako unayo wewe mwenyewe.
Good Thinking Samaritan !Mapenzi ni chombo cha moto, yanahitaji lesseni kama vile za udereva, pikipiki, ndege n.k
Wazee na mafundisho ya imani yako sahihi kabisa, tungepunguza matatizo mengi sana kama tungesubiri hadi ndoa na kuwa waaminifu kwa wenza wetu baada ya ndoa.
Utakaa sawa tu baada ya muda, binadamu tumejaliwa kusahau mambo baada ya kipindi kupita.