Transcend
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 20,553
- 63,058
True love happen once!Inaelekea huyo mwenza huko karibu nae, akiwa karibu hata nje kukiwa na vita wewe utatoka ndani unasmile.
Haitatokea tena!

True love happen once!Inaelekea huyo mwenza huko karibu nae, akiwa karibu hata nje kukiwa na vita wewe utatoka ndani unasmile.

Sasa ni vodka
kazi
gym
vibe zikipanda kuna michepuko
Kwisha habari
True love happen once!
Haitatokea tena!![]()
![]()
![]()
Kupenda ni ile hali ukimuona yule unaempenda kuna chemical/hormonal reaction kwenye mwili wako ambayo hata wewe huwezi kuielezea. Uko radhi kufanya chochote kwaajili ya yule unaempenda, hata ukiwa umekasirika ukisikia tu jina lake hasira inamalizika. Ni feeling moja amazing, pole sana kama hujawahi kuiexperience.
Umeelezea vizuri sana na ni ukweli kabisa that feeling when you're love is very special and amazing. Saa zote unakuwa na furaha kubwa sana ambayo haielezeki na mara nyingi humfanya mtu atabasamu kwa muda mwingi sana hata akiwa pekee yake na wanadai hata moyo huwa " unatabasamu"
Mkuu hata kama nje mabomu yanarindima wewe unasmile.
Hiyo ninayoongelea ni natural feeling, ambayo kila binadamu ana iexperience, unakuta the most power full man in the world lakini kuna corner anakonda mwenyewe.inakuwa na nini au ndio imeungwa maana skuiz naskia mpaka chai haioni ndani
Kama bado unaishi duniani utakutana nayo tu, omba uzima.Mm mwenyewe cjawahi kupenda nackiaga tu watu wamegombana kisa mwanaume ila mm wanaume wote naona km kaka zangu!!
Hiyo ninayoongelea ni natural feeling, ambayo kila binadamu ana iexperience, unakuta the most power full man in the world lakini kuna corner anakonda mwenyewe.
Mm mwenyewe cjawahi kupenda nackiaga tu watu wamegombana kisa mwanaume ila mm wanaume wote naona km kaka zangu!!
Lini sasa wakati nimeanza kuzeeka!!Kama bado unaishi duniani utakutana nayo tu, omba uzima.

Una undugu na Miss Natafuta?Habari Wanajukwaa
Wana body habari za muda huu, ni weekend nyingine tena mwaka unakimbia speed mbayaaa, Wanabody nimekuwa nikisikia watu wakiumizwa na kuumiza kwenye mahusiano
Mimi sijui ni tatizo au vipi ila kwanza sijawahi penda sasa hii ni hali ya kawaida au imekaaje please hebu nijulisheni wataalam wa haya mambo
NOTE: sii kwamba sijihusishi na hizi mbio nop nishapiga rally zote za kirafiki na official ila ile kumpenda mdada live sijawahi kabisa na akinipotezea nachuna wala siumii sasa sijui ni tatizo au ni hali ya kawaida
Jimwage mdau wewe sema yote ntakuelewa TU
Kama bado unaishi duniani utakutana nayo tu, omba uzima.
Una undugu na Miss Natafuta?
Lini sasa wakati nimeanza kuzeeka!!![]()
Kutamu sana haswa umpendaye nae awe hivyo kwako.
Yah, mara nyingi tunashindwa kusoma nyakati, unakuta mwanaume anaekupenda kwa dhati unamdharau unatawapenda wale wadanganyifu.Na bahati pia ya kukutana na mwanaume ambaye ataufungua moyo na akili yake kumuonyesha penzi la ukweli.
Yah, mara nyingi tunashindwa kusoma nyakati, unakuta mwanaume anaekupenda kwa dhati unamdharau unatawapenda wale wadanganyifu.