Mr Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 26, 2016
- 1,670
- 760
- Thread starter
- #21
Ukikua utayaona
Wewe kitulize nikuwe mara ngapi usikute mimi na bi mkubwa letu moja
Ukikua utayaona
Hapa nilipo bado usiku
Kama HUPENDWI basi huwezi PENDA
Mda wako wa kupenda bado haujafika dogo , siku ukifika utashangaa
Katika vitu vyote unavyovimilik kipi unahisi upo attached nacho sana? (Hata kama ni mwili wako.)
Hujawaji penda, Ukipenda ulete mrejesho mkuu
Mr natafuta leo umekuja na uzi hujui maumivu ya mapenzi. Na leo miss natafuta kaja na uzi anatafuta bf wa uhakika amechoka kuruka ruka. Mmhh sijui mnajuana nyinyi au mtu mmoja ID tofauti.
Ndukiiiii
Utajua hiyo sikulini sasa
Ikifika siku ukaweza kuhamisha 'attachment' yako kutoka kwa pesa mpaka kwa binadamu mwenzio hapo sasa utakua umependa.pesa
Nambie
Ha ha haFursa hiyo, jamaa anatoa tangazo hapo kwa anayejua jinsi ya kumfanya apende.
Ha ha ha
Mi nimeshakupenda wewe
Watakaohitaji fursa ya Mr natafuta watamcheck
Habari Wanajukwaa
Wana body habari za muda huu, ni weekend nyingine tena mwaka unakimbia speed mbayaaa, Wanabody nimekuwa nikisikia watu wakiumizwa na kuumiza kwenye mahusiano
Mimi sijui ni tatizo au vipi ila kwanza sijawahi penda sasa hii ni hali ya kawaida au imekaaje please hebu nijulisheni wataalam wa haya mambo
NOTE: sii kwamba sijihusishi na hizi mbio nop nishapiga rally zote za kirafiki na official ila ile kumpenda mdada live sijawahi kabisa na akinipotezea nachuna wala siumii sasa sijui ni tatizo au ni hali ya kawaida
Jimwage mdau wewe sema yote ntakuelewa TU