Kupayuka! Mbinu mpya ya kubaki kileleni?

Kupayuka! Mbinu mpya ya kubaki kileleni?

Hii kitu ni udhalilishaji mkubwa kwa wanaume wenye agenda ya siri nyuma yake... Na yeyote anayeupigia upatu kama si mteja basi mtumiwaji...
Samahani kwa picha yenye maudhui yenye ukakasi View attachment 753609
Nipo pamoja na mdau alieweka maneno ktk hii picture.

Bora Bwana akatwaa tu.ila nimesoma hii post mwanzo nadhan kilichozungumzwa hapa ndicho anachokifanya makonda,anacheza na akili za watu ili daima dumu awe midomoni mwao wakisemezana kumuhusu hata kama ameongea ujinga.

How atakuja mtu anilazimishe kwamba unatakiwa upimwe ugonjwa fulani tena kwa lazma?kama kipindupindu sawa maana kweli huwa unakuwa na hali ya hatari kuambukiza sio tezi dume.doctors watakaomsiliza huyu jamaa nao itabidi vyeti vyao vichunguzwe.
 
Nipo pamoja na mdau alieweka maneno ktk hii picture.

Bora Bwana akatwaa tu.ila nimesoma hii post mwanzo nadhan kilichozungumzwa hapa ndicho anachokifanya makonda,anacheza na akili za watu ili daima dumu awe midomoni mwao wakisemezana kumuhusu hata kama ameongea ujinga.

How atakuja mtu anilazimishe kwamba unatakiwa upimwe ugonjwa fulani tena kwa lazma?kama kipindupindu sawa maana kweli huwa unakuwa na hali ya hatari kuambukiza sio tezi dume.doctors watakaomsiliza huyu jamaa nao itabidi vyeti vyao vichunguzwe.
Ni kwa vile kila analofanya hakuna mamlaka yenye nguvu kumkemea
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Eti kileleni kutamu!

Wanaochelewa kufika kileleni wanasaidiwa na kupayuka [emoji40]
[emoji848][emoji848][emoji848][emoji15][emoji15][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nipo pamoja na mdau alieweka maneno ktk hii picture.

Bora Bwana akatwaa tu.ila nimesoma hii post mwanzo nadhan kilichozungumzwa hapa ndicho anachokifanya makonda,anacheza na akili za watu ili daima dumu awe midomoni mwao wakisemezana kumuhusu hata kama ameongea ujinga.

How atakuja mtu anilazimishe kwamba unatakiwa upimwe ugonjwa fulani tena kwa lazma?kama kipindupindu sawa maana kweli huwa unakuwa na hali ya hatari kuambukiza sio tezi dume.doctors watakaomsiliza huyu jamaa nao itabidi vyeti vyao vichunguzwe.
dudubaya ni ngangaripoa?
 
.
IMG-20190331-WA0046.jpeg


Jr[emoji769]
 
Wapayukaji wapo wengi sana... ila kwa heshima na taadhima nisingependa kuwataja...


Cc: mahondaw
 
Yupo yule kubwa Lao ambae ni bingwa wa kupayuka payuka.nadhani wote hujifunza kwake.

Mtwara mko tayariiiiii, he is coming
View attachment 384442Kileleni kuna raha yake ni kuzuri na kila kitu kinakuwa chini yako...kilele ni kilele tu hasa kikiwa cha mafanikio umaarufu nk...hakuna anayependa kushuka chini...labda kiwe ni kilele cha matatizo hapo hakuna anayependa kubaki
Kuna vitu special hutufanya tuwe kileleni....wasanii wetu ni kutokana na kazi zao...lakini zinapokosa mvuto kwasababu ya ubunifu matatizo na mahitaji ya nyakati na kuanza kuporomoka, hutafuta njia nyingine ya kubaki kileleni.

Njia hiyo si ile iliyowapandisha! Hii ni shortcut iliyojaa kuchanganyikiwa, unaweza kuona wasanii wetu wengi wamebaki na umaarufu wa tuhuma za mambo ya ajabu kuchambana mitandaoni na kufanya mambo mengi ya kutia kinyaa alimradi tu wawe midomoni mwa watu na kwenye kurasa za media.

Wanasiasa nao ni waathirika wa umaarufu na mmojawapo ni mkuu wa mkoa wa Dsm...Ukiangalia matamko aliyokwishatoa (ambayo mengi kimsingi na kiuhalisia hayatekelezeki)utagundua kuwa ana mradi maalum wa kutafuta kiki na kubaki kwenye kurasa za vyombo vya habari na midomo ya watu.

Amegundua udhaifu wa media zetu hazina tafakuri ya kina, huandika chochote na kikapokewa kwa mlipuko na kuzua mijadala isiyoisha.....kwa njia hii anajihakikishia kubaki kileleni japo kwa kupayuka! Lakini je yuko peke yake? View attachment 384443

USOGA WI KUA KATI MWINA NSONGOO
 
Wanasiasa nao ni waathirika wa umaarufu na mmojawapo ni mkuu wa mkoa wa Dsm...Ukiangalia matamko aliyokwishatoa (ambayo mengi kimsingi na kiuhalisia hayatekelezeki)utagundua kuwa ana mradi maalum wa kutafuta kiki na kubaki kwenye kurasa za vyombo vya habari na midomo ya watu.

Amegundua udhaifu wa media zetu hazina tafakuri ya kina, huandika chochote na kikapokewa kwa mlipuko na kuzua mijadala isiyoisha.....kwa njia hii anajihakikishia kubaki kileleni japo kwa kupayuka! Lakini je yuko peke yake?

Jr[emoji769]
 
Yupo yule kubwa Lao ambae ni bingwa wa kupayuka payuka.nadhani wote hujifunza kwake.

Mtwara mko tayariiiiii, he is coming

USOGA WI KUA KATI MWINA NSONGOO
[emoji848][emoji848][emoji144][emoji144][emoji23][emoji23][emoji23]
IMG-20190331-WA0095.jpeg


Jr[emoji769]
 
Ukiangalia kwa jicho la tatu ukiwa na mtazamo huru wa kutoruhusu ushawishi wa mitazamo ya watu wengine utaona wazi kwamba alichokiongea Makonda kipo sahihi.
 
Yaani umenikumbusha yule ndugu yetu ambae japokuwa ni mgonjwa, na operation zinamuhusu, lakini bado anapata nguvu ya kuchokoka hospitali na kwenda nchi mbalimbali kupayuka ili aendelee kubaki kileleni.

Kwa hili la RC Dsm kwa papaa Liquid kachemka. Binadamu anatakiwa kushauriwa ajirekebishe iwapo anakosea. Maadam ashaonekana ana mchango katika jamii, ni muda sasa wa kumtumia na kumwelekeza njia sahihi, je awe na tabia na mwenendo upi ili awe na chachu kwenye Jamii,

Pili tunapojaribu kumponda mtu tuangalie pia aina ya jamii tuliyonayo ambayo Amber Rutty nae ni kioo cha Jamii, jamii ambayo vioo vya jamii ni wale watenda maovu na si watu wema.

Pia nina hakika katika familia ya Mkuu wapo ambao wanatabia za ajabu ajabu, na sidhani kama familia yao wote ni wasafi. Je hili la kuponda huko nako linafanyika au ni kwa wale wasiotuhusu tuu.

Tusikomae kuondoa vibanzi vilivyopo kwenye macho ya wengine na kuacha maboriti tena ya Mninga yaliyopo kwenye macho yetu.

Kobwinee.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukiangalia kwa jicho la tatu ukiwa na mtazamo huru wa kutoruhusu ushawishi wa mitazamo ya watu wengine utaona wazi kwamba alichokiongea Makonda kipo sahihi.
Kipi kimojawapo maana vipo vingi sana
IMG-20190628-WA0014.jpeg
 
Back
Top Bottom