Kupatiwa mawazo juu ya afya yangu

Kupatiwa mawazo juu ya afya yangu

Naxria abdalla

Senior Member
Joined
Feb 28, 2025
Posts
178
Reaction score
311
Habari zenu wana jamvi leo nimekuja kwa unyenyekevu mkubwa ndugu yenu naumwa hlf sijui nini kinanisumbua najua itawashangaza ila na huu ukubwa nilonao sijui naumwa nini ni vile najiskia vibaya mwili unakosa nguvu mda mwengine viungo vinauma tu mda mwengine kama nataka kutapika inafika mwezi wa 4 nikienda hosptal za serikali wananipima tu malaria wananipa dawa hakuna afadhali ninayopata,sasa nimeamua kwenda hosptal za binafsi ila kabla sijaenda nataka ushauri vipimo gani niombe kufanya au doctor nikimuelezea ataelewa nini anipime?mana nateseka mno
 
Ila Tanzania ni nchi ya kipekee sana

No wonder watawala waovu wanafurahia aina hii ya watu tulivyo haswa sisi vijana wa kileo

Yani mtu anasumbuliwa kwa namna isiolezeka na inampa wakati mgumu badala akafanye full check up eti anakuja kutafuta faraja humu ndani.

SCUM! 🤡🤡
 
Habari zenu wana jamvi leo nimekuja kwa unyenyekevu mkubwa ndugu yenu naumwa hlf sijui nini kinanisumbua najua itawashangaza ila na huu ukubwa nilonao sijui naumwa nini ni vile najiskia vibaya mwili unakosa nguvu mda mwengine viungo vinauma tu mda mwengine kama nataka kutapika inafika mwezi wa 4 nikienda hosptal za serikali wananipima tu malaria wananipa dawa hakuna afadhali ninayopata,sasa nimeamua kwenda hosptal za binafsi ila kabla sijaenda nataka ushauri vipimo gani niombe kufanya au doctor nikimuelezea ataelewa nini anipime?mana nateseka mno
Pima vidonda vya tumbo, hizo ulizotaja zote ndio dalili zake
 
Ila Tanzania ni nchi ya kipekee sana

No wonder watawala waovu wanafurahia aina hii ya watu tulivyo haswa sisi vijana wa kileo

Yani mtu anasumbuliwa kwa namna isiolezeka na inampa wakati mgumu badala akafanye full check up eti anakuja kutafuta faraja humu ndani.

SCUM! 🤡🤡
Watanzania wengi tunapona bila kutumia dawa au kwa kutumia dawa za kienyeji... Hali ikiwa mbaya ndipo mtu anakimbilia hospital 😊
 
Ila Tanzania ni nchi ya kipekee sana

No wonder watawala waovu wanafurahia aina hii ya watu tulivyo haswa sisi vijana wa kileo

Yani mtu anasumbuliwa kwa namna isiolezeka na inampa wakati mgumu badala akafanye full check up eti anakuja kutafuta faraja humu ndani.

SCUM! 🤡🤡
Wewe ungetoa tu ushauri bila kuhusisha nchi kwani ungebadilika nini?wewe alokwambia mm nimekuja kutafuta faraja ni nani?au nimeandika wapi kama nataka faraja?hebu ishia apo nisije kukwambia maneno mabaya ukanichukia
 
Kama umekutwa na marelia tumia sindano

Hizi dawa za 2000 acha nazo

Pia nenda,hosptali inayoeleweka kubwa
 
Pima Presha, Sukari, Mimba, UTI, Typhoid, H pylori...
 
Habari zenu wana jamvi leo nimekuja kwa unyenyekevu mkubwa ndugu yenu naumwa hlf sijui nini kinanisumbua najua itawashangaza ila na huu ukubwa nilonao sijui naumwa nini ni vile najiskia vibaya mwili unakosa nguvu mda mwengine viungo vinauma tu mda mwengine kama nataka kutapika inafika mwezi wa 4 nikienda hosptal za serikali wananipima tu malaria wananipa dawa hakuna afadhali ninayopata,sasa nimeamua kwenda hosptal za binafsi ila kabla sijaenda nataka ushauri vipimo gani niombe kufanya au doctor nikimuelezea ataelewa nini anipime?mana nateseka mno
Una vidonda vya tumbo
 
Back
Top Bottom