Mambaz 24 jr
JF-Expert Member
- Aug 25, 2023
- 695
- 1,421
Kapime full blood picture
Sawa hii ndio nitaanza nayo hlf mengine yatafuataKapime full blood picture
Nipo sawa sina streessPsychological uko sawa, tuanzie hapo maana mara nyingi kama uko na stress au kitu chochote kinachofanya akili kukosa utulimu, huweza kuvutuga hali ya mwili na ni nadra sana kujua nini tatizo
Je unaweza kuwa na vidonda vya tumbo hlf usiumwe tumbo?Una vidonda vya tumbo
Ndio mkuu Kuna wengine haviumi kabisa ila utajihisi uchovu, njaa, kichwa kuuma ,homa kali na izo dalili zako zaingineJe unaweza kuwa na vidonda vya tumbo hlf usiumwe tumbo?
Ok ahsante nitapima pia hlf nitarudi tena kwa vipimo kwa awali hapo kesho mungu akipendaNdio mkuu Kuna wengine haviumi kabisa ila utajihisi uchovu, njaa, kichwa kuuma ,homa kali na izo dalili zako zaingine
Una utulivu wa akili kichwani mwakoNipo sawa sina streess
Unatokwa na jasho jingi usiku?Habari zenu wana jamvi leo nimekuja kwa unyenyekevu mkubwa ndugu yenu naumwa hlf sijui nini kinanisumbua najua itawashangaza ila na huu ukubwa nilonao sijui naumwa nini ni vile najiskia vibaya mwili unakosa nguvu mda mwengine viungo vinauma tu mda mwengine kama nataka kutapika inafika mwezi wa 4 nikienda hosptal za serikali wananipima tu malaria wananipa dawa hakuna afadhali ninayopata,sasa nimeamua kwenda hosptal za binafsi ila kabla sijaenda nataka ushauri vipimo gani niombe kufanya au doctor nikimuelezea ataelewa nini anipime?mana nateseka mno
Hapana sitoki jasho labda juzi nilikuwa nahisi kama homa ndio nikatoka jasho,sijawah kupima blood count na nikikojoa mkojo unaisha vizuri tuUnatokwa na jasho jingi usiku?
Je unahisi koo kukauka?
Unpata hisia ukikojonunahisi mkojo hauishi?
Ushawahi Pima blood count?
Je una uvimbe sehemu yoyote ya mwili hata kidogo?
Elle est professeure😀😀😀Wewe ni mwalim?
Jamii Africa kama JamiiHuyo kwa profile ni wewe..??
kama ni wewe tegemea ugeni wa kutosha kutoka JamiiAfrica,
Pole sana kwa kuumwa Nasria..!
Pima blood count,Hapana sitoki jasho labda juzi nilikuwa nahisi kama homa ndio nikatoka jasho,sijawah kupima blood count na nikikojoa mkojo unaisha vizuri tu
Ahsante kwa ushauri nitalifanyia kazi ila najihisi naumwa wacha nikajiridhishe na baadhi ya vipimoMimi sioni kama Unaumwa! Nadhami ni Msongo wa Mawazo! Hofu,wasiwasi,nk
Fanya mazoezi,tafuta kitu cha kukuburudisha,kula vizuri uwe na muda wa kutosha kupumzika,muda wa kutosha wa kusinzia.
Mkuu ndo maana kaja hapa soma vizur na umshaur sio Kila mtu anajua mambo ya full check, pia inagharimu kiasi gani na hospitali gani nzur aende usianxe kimlaumu rudia kusoma bandiko, full check huwa inapimwa nini na nini?Ila Tanzania ni nchi ya kipekee sana
No wonder watawala waovu wanafurahia aina hii ya watu tulivyo haswa sisi vijana wa kileo
Yani mtu anasumbuliwa kwa namna isiolezeka na inampa wakati mgumu badala akafanye full check up eti anakuja kutafuta faraja humu ndani.
SCUM! 🤡🤡
Full check up -- wanapima vitu gani?Ila Tanzania ni nchi ya kipekee sana
No wonder watawala waovu wanafurahia aina hii ya watu tulivyo haswa sisi vijana wa kileo
Yani mtu anasumbuliwa kwa namna isiolezeka na inampa wakati mgumu badala akafanye full check up eti anakuja kutafuta faraja humu ndani.
SCUM! 🤡🤡