Mawakala wa shetani ni wengi mno
Hii ni kweli kabisa nna shuhuda nyingi juu ya hiliInawezekana kabisa kutoopata kwani mimi pia kaka yangu aliishi na mkewe amaye alikuwa ameathirika almost for 5 years but mwanaume alikuwa hana!
Ndio. Mimi niliwahi kumsindikiza mara kadhaa. Maana alishaamua kuwa akikutwa nao au asikutwa nao yuko tayari kwa hali yeyote.aliwaonesha cheti?
Jamaa anataka akupe presha ya vidole gumbaduh sasa wewe unanitisha ili vipi kwa mwaka mzima nisione hata dalili.
🙂😀😀😀😀😀😀😀Mkuu ukimwi wa miaka hii sio kama ule wa miaka 80 bandugu,
Ule ukiingiza kichwa tu ukitoa, baada ya miezi 6 unaanza kuarisha, kukonda na kuishiwa nguvu.
Mwezi moja mbele unatokwa na mkanda wa jeshi, uvimbe shingoni na utando mweupe mdomoni.
Ukifikisha miezi mitatu unakonda unabaki kama skelatoni, majapu mpaka pale pakunyea haja.
Miezi 4 unaharisha kama ngisi, majimindonda kwenye koo, ukikohoa unajamba, majiupele kila mahali.
Ukimwi ule ulikuwa noma, wadadu siku hizi wamekuwa mashoga.
Unaweza kulala na waathirika 20 na visikuingie
Nyinyi ndio wale mkipata dada poa mnahesabu kila shilingi mia kwa dakika.hizo chache mkuu mbona..
angalau sijawahi tembea na dadapoa mpaka umri huu ila nikilala na mwanamke mara nyingi huwa zinafika sita kama anakaa usiku mmoja kesho anaondoka kwa hiyo hapo nilikuwa half way.Nyinyi ndio wale mkipata dada poa mnahesabu kila shilingi mia kwa dakika.
Morning glory ni moja ya vile sita au?angalau sijawahi tembea na dadapoa mpaka umri huu ila nikilala na mwanamke mara nyingi huwa zinafika sita kama anakaa usiku mmoja kesho anaondoka kwa hiyo hapo nilikuwa half way.
Morning glory ni nini rafiki?Morning glory ni moja ya vile sita au?
nimekopy na kupest hata mimi sifahamu ngoja wajuzi wajeMorning glory ni nini rafiki?