Ngoja nite elimu hapa
ukimwi unapatikana sana sehemu hizi MAJIMAJI YA UKENI, DAMU, SHAHAWA
Na unaenezwa kwa njia ya ngono zembe. Hawa jamaa hawawezi kupita kweny intact skin. Wanapita sehemu yenye mchubuko au sehemu ambayo kuna mchubuko ambao damu yaweza kupita sasa ikitokea cross contamination mwenye mchubuko akakutana na niliyoyaeleza hapo lazima uambukizwe
Zingatia
a usinyoe mav*z* kabla hujaingia mzigoni
b ukimaliza kumwaga kojoa mkojo na uoshe uume wako
c ukiona ile fluid inaisha usilazimishe mpaka mkachubuana
d na kwenye kiss usipigane busu wakati una vidonda mdomoni (mate hayana maambukizi ili kuambukizwa kwa unatakiwa unywe lita ya mate sasa hii haiwezekani
e na wenye group o ni rahisi kuambukikuliko kuambukizwa