Kupata VVU si kazi rahisi

Kupata VVU si kazi rahisi

Kuna Shangazi yangu alifariki kwa ugonjwa huu miaka kumi na tano iliyopita, yeye pamoja na wanawe wadogo wawili.

Lakini cha kushangaza mumewe yuko poa mpaka leo hii, ameshapima zaidi ya mara hamsini, lakini hajakutwa na maambukizi.
Ni mzima wa afya kabisa!
aliwaonesha cheti?
 
1.Hakuna study yoyote iliyothibitisha kwamba blood group O ni rahisi kupata HIV...so huo ni upotoshaji.
2.Kuosha uume mara baada ya tendo hakuzuii ww kupata HIV kama michubuko ilitokea ndani wakati wa tendo.

Hapo kwenye o hukunielewa vizuri. unajua mtu mwenye group o hawapatagi magonjwa mara kwa mara. Kwa study hapo sina uhakika.

kuosha uume nilikua natoa ushauri tu sio lazima ukimwi bali na magonjwa mengine. Kama ulishawahi kumsikia habari ya Jacob Zuma
 
Ngoja nite elimu hapa
ukimwi unapatikana sana sehemu hizi MAJIMAJI YA UKENI, DAMU, SHAHAWA

Na unaenezwa kwa njia ya ngono zembe. Hawa jamaa hawawezi kupita kweny intact skin. Wanapita sehemu yenye mchubuko au sehemu ambayo kuna mchubuko ambao damu yaweza kupita sasa ikitokea cross contamination mwenye mchubuko akakutana na niliyoyaeleza hapo lazima uambukizwe

Zingatia
a usinyoe mav*z* kabla hujaingia mzigoni
b ukimaliza kumwaga kojoa mkojo na uoshe uume wako
c ukiona ile fluid inaisha usilazimishe mpaka mkachubuana
d na kwenye kiss usipigane busu wakati una vidonda mdomoni (mate hayana maambukizi ili kuambukizwa kwa unatakiwa unywe lita ya mate sasa hii haiwezekani
e na wenye group o ni rahisi kuambukikuliko kuambukizwa
Hapo kwenye group 'O' naomba maelezo zaidi !
 
Kuosha n kweli maana n hali ya kuwa na usafi si unajua majimaji ndio mabaya?
 
Huu ugonjwa ni km unamaajabu vile. Mtu anaishi na mwenye vvu miaka na miaka bila kujua lakini mwisho anapimwa na anakutwa hana vvu na mwenzake anayo.
Wataalam nao hawaweki wazi hili imekuje
 
Kuna Shangazi yangu alifariki kwa ugonjwa huu miaka kumi na tano iliyopita, yeye pamoja na wanawe wadogo wawili.

Lakini cha kushangaza mumewe yuko poa mpaka leo hii, ameshapima zaidi ya mara hamsini, lakini hajakutwa na maambukizi.
Ni mzima wa afya kabisa!
Shuuda kama hizi huwa zinanifanya nijiulize sana kuhusu uhalisia wa huu ugonjwa na kutopuuza kabisa maneno ya Deception.
 
Huu ugonjwa ni km unamaajabu vile. Mtu anaishi na mwenye vvu miaka na miaka bila kujua lakini mwisho anapimwa na anakutwa hana vvu na mwenzake anayo.
Wataalam nao hawaweki wazi hili imekuje
Hoax
 
Kupata ukimwi ni janga na vilevile ukishapishana na masharti ni Mungu pekee mwenye uwezo wa kuepusha janga hilo na vinginevyo hivyo ulikuwa na bahati tu hukupata mchubuko wowote wa kusababisha upate vvu
 
itakuwa -ve tu nilipima regency sio muda mrefu tena kipimo cha uhakika elisa
Ungekuwa wewe ni +VE ungekuwa na chance kubwa ya kumwmbukiza mwanamke kama hutumii condom kwani manii yote yanaingia kwake, kwa mwanaume kuambukizwa si rahisi kama mwanamke.
 
Yawezekana unakibamia na yeye ana bwawa hivyo hakukua na msuguano uliogelea tu
 
Wewe utakuwa hujapima wala nini, sema kutokuobserve any negative impact kunakupa confidence! Maybe unajitunza uko vizuri that's why.
 
Back
Top Bottom