kupata pisikali kwa kujitoa ufahamu

kupata pisikali kwa kujitoa ufahamu

Mimi nikipiga konyagi zangu 3 kila mwanamke ni pisi kali kwangu. Hata kama una sura kamba punda wa kimakonde unakua toto si toto. Na ndio maana hadi waleo hawajawahi nidhalilisha coz nawapa misifa kama yote ili wasije kuniteka.
Konyagi tatu sio nzuri kwa afya mkuu. Piga moja tu ya kuchangamsha akili halafu endelea na lager au lite
 
Konyagi tatu sio nzuri kwa afya mkuu. Piga moja tu ya kuchangamsha akili halafu endelea na lager au lite
afya kivipi kiongozi kwani figo natunzia nani. Sa konyagi moja hapo n sawa na kunipa andaz la mia ati ntashiba. (bt asante kwa ushauri huo mwingne atautumia mimi pombe sinywi ndugu yangu.)
 
afya kivipi kiongozi kwani figo natunzia nani. Sa konyagi moja hapo n sawa na kunipa andaz la mia ati ntashiba. (bt asante kwa ushauri huo mwingne atautumia mimi pombe sinywi ndugu yangu.)
Mungu mwenyewe anaangalia moyo,kata pombe mkuu..unaenda mlingishia nani figo mbinguni?
 
Back
Top Bottom