Soul21
Senior Member
- Apr 8, 2017
- 194
- 329
KUONGEZEKA KWA AJALI, NANI ALAUMIWE?
Kwanza natoa pole kwa ndugu na jamaa waliopoteza ndugu zao kupitia ajali za barabarani huku nukitambu kiasi gani watoto wamebaki yatima, wajane na pia wazazi kupoteza watoto wao bila kusahau ndugu pia.
Mwezi wa kumi na mbili mpaka Januari polisi waliongeza usimamizi na ukaguzi wa kiwango cha hali ya juu, na kama unakumbua haliyo hiyo ilisaidia kupungua na hata kutoripotiwa kwa jali nyingi.
Je, ajali za sasa ni kupungua kwa usimamizi wa jeshi la posili?
Je, ni adhabu dhaifu barabarani zimechangia ongezeko hili?
Hapa Tanzania tumekuwa na madarasa ya udereva mengi mno nahisi wanatoa elimu dhaifu sana. Nimefuatili pia na kugundua nchi za wenzetu ili kupata leseni mfano Marekani inachukua si chini ya miaka miwili ukiwa unapikwa na majaribio mengi kwa sababu wanatumbua unaenda kubeba uhai wa watu wengi.
Naendelea kusema hivi kwa sababu magari madogo hasa namba E yanayoendeshwa na vijana ndio yanayoongoza kwa ajali.
Ndipo nimefuatilia na kugundua kuwa, watu wengi wamepata leseni kwa kutoa rushwa bila kuwa na elimu pana kuhusu barabarani.
Pia udhaifu wa sheria zetu ambazo pale adhabu zinapokuwa kali wananchi wakilalamika serikali inalegeza kamba mfano mtu mlevi hapaswi tu kupigwa faini pia lazima anyanganywe leseni na hata kufungiwa kuendesha gari kwa muda fula na ikiwezekana arudi shule upya.
Jambo lingine, huruma kwa hawa vijana wa bodaboda si malezi, faini iwe kali kwa sababu ndio wimbi linaloangamia na pia kusababisha ajali hovyo. Huruma si malezi lazima taifa liwe na sheria nasi matamko ya kiasa ili kulinda kura na mfano mzuri wa sheria kali ni Rwanda kwa sababu wametambua thamani ya uhai wa vijana na nguvu kazi ya taifa
Mapendekezo,
1. Muda wa kuapata leseni uongezwe tena chini ya mitihani na vitendo vikali vya uendeshaji
2. Adhabu ziwe kali mno hasa kwa walevi na wasiofuta sheria. Hata kwa bodaboda wanyanganywe elementi.
3. Abiria wazinduke kifikra na wasifumbue uhalifu wa dereva anaendesha hovyo
Wadau
Asante sana.
Kwanza natoa pole kwa ndugu na jamaa waliopoteza ndugu zao kupitia ajali za barabarani huku nukitambu kiasi gani watoto wamebaki yatima, wajane na pia wazazi kupoteza watoto wao bila kusahau ndugu pia.
Mwezi wa kumi na mbili mpaka Januari polisi waliongeza usimamizi na ukaguzi wa kiwango cha hali ya juu, na kama unakumbua haliyo hiyo ilisaidia kupungua na hata kutoripotiwa kwa jali nyingi.
Je, ajali za sasa ni kupungua kwa usimamizi wa jeshi la posili?
Je, ni adhabu dhaifu barabarani zimechangia ongezeko hili?
Hapa Tanzania tumekuwa na madarasa ya udereva mengi mno nahisi wanatoa elimu dhaifu sana. Nimefuatili pia na kugundua nchi za wenzetu ili kupata leseni mfano Marekani inachukua si chini ya miaka miwili ukiwa unapikwa na majaribio mengi kwa sababu wanatumbua unaenda kubeba uhai wa watu wengi.
Naendelea kusema hivi kwa sababu magari madogo hasa namba E yanayoendeshwa na vijana ndio yanayoongoza kwa ajali.
Ndipo nimefuatilia na kugundua kuwa, watu wengi wamepata leseni kwa kutoa rushwa bila kuwa na elimu pana kuhusu barabarani.
Pia udhaifu wa sheria zetu ambazo pale adhabu zinapokuwa kali wananchi wakilalamika serikali inalegeza kamba mfano mtu mlevi hapaswi tu kupigwa faini pia lazima anyanganywe leseni na hata kufungiwa kuendesha gari kwa muda fula na ikiwezekana arudi shule upya.
Jambo lingine, huruma kwa hawa vijana wa bodaboda si malezi, faini iwe kali kwa sababu ndio wimbi linaloangamia na pia kusababisha ajali hovyo. Huruma si malezi lazima taifa liwe na sheria nasi matamko ya kiasa ili kulinda kura na mfano mzuri wa sheria kali ni Rwanda kwa sababu wametambua thamani ya uhai wa vijana na nguvu kazi ya taifa
Mapendekezo,
1. Muda wa kuapata leseni uongezwe tena chini ya mitihani na vitendo vikali vya uendeshaji
2. Adhabu ziwe kali mno hasa kwa walevi na wasiofuta sheria. Hata kwa bodaboda wanyanganywe elementi.
3. Abiria wazinduke kifikra na wasifumbue uhalifu wa dereva anaendesha hovyo
Wadau
- Vaa mkanda wa usalama (seatbelt) kila wakati.
- Usiongee kwa simu ukiwa unaendesha.
- Fuata mwendo kasi unaoruhusiwa.
- Usiendeshe ukiwa umelewa au umechoka sana.
- Vuka barabara mahali salama na uangalie pande zote.
- Madereva wa pikipiki na baiskeli wavae kofia ngumu (helmet).
- Epuka kupita magari kwa kasi bila kuangalia.
Asante sana.