Kupata D ya General Studies ni ngumu kuliko A ya physics

Kama sayansi sio kulalili tumia tumia kiingereza chako kujibu biology uone kitakacho kukuta....Luna maneno ya kibiologia lazma utumie...phy ndo kabisa usiseme ,,,state Archimedes principle,ohms law,law flotations, paschal principle,Charles law,Boyle's law, tumia language yako kustate uone kitakacho kukuta...chemistry ndo pasua kichwa ni kumeza kama yalovyo,,organic chemistry, mole concept,,,,, huwezi jubu kwa lugha yako unavojua unaandila kikemia zaidii...tatizo ukweli unauma...wanaosoma hayo masomo wana high claiming power..sio kwa zile formular aisee....
High claiming power ni nini? Kwa uandishi wako huu hata hiyo arts uliyosoma ulipendelewa...
 
Watz hawajui kingereza Mimi GS nilipata B hasa waliosoma science kichwani wanakuaga hamna kitu ni full kukalili hata sentensi ya kingereza hawezi kuongea Wala kuandika so hapo lazima Apate F ya Gs Kama sio S
Science ya wapi inakaririwa
 
Ficha upumbavu wako aisee... hayo masomo ya arts hata ukiwa unalala tu kila siku lazima ufaulu. Haiwezekani mtu ana akili zake akasome hayo masomo. Karibu wote walioenda arts walifeli Maths form IV.
Hiii ni kweli asee kweli kabisa arts kwenye hesabu ni hovyo hovyo hovyo tena duuuh ziro kabisa kuna mtu ana piga 1.9 bam F daaa
 
Sikia mkuu TO anatoka PCM kwa sababu ayo masoma ni mahesabu tu ,na ukipata jibu ni hilo hilo na marks wanakupa kama ilivopangwa ....tofauti na masomo ya kujieleza ambapo kila mtu anamaelezo yake ,kumshawish msahihishaji akupe marks zote ni ngumu ...ndo maana kupata A ya math,phyz, ni rahis kuliko kiswahili,history,language....kiufupi math ,phyz,chem ,bios...ni masomo ya kukalili na kuhamishia kwenye mtihan ....ukiweza ivo utachora A za maana ...ila aya wengine ni maelezo
Huna akili.
 
Kwanza kupata zero ni ngumu kuliko kufaulu ili upate zero unahitaji kufanya juhudi nyingi ambazo sio za kishule kabisa ndio upate zero!
 
Kwanza kupata zero ni ngumu kuliko kufaulu ili upate zero unahitaji kufanya juhudi nyingi ambazo sio za kishule kabisa ndio upate zero!
Hujui zero ikoje boss,Ile advanced physics ni mtiti juu ya mtiti yaani kupata F ni kugusa chap, practical ndo inatubeba unajikuta Una C au B
 
PCB or PCM ni kwa wale wana wenye maakili mingi ya darasani,kinyume na hapo utasoma number.
thank God nilimaliza salama japo mazingira ya ile shule hayakuwa rafiki kabisa
sahivi nipo napambana na mtiti mwingine wa medical school
 
Back
Top Bottom