Kupata D ya General Studies ni ngumu kuliko A ya physics

Unapataje F general study kama sio umburura tu huo....af unakuja kujitapa humu...hata kuwapa mkopo nyie vijana kumbe ni wast of money tuu.. tatizo mda wote mnafatilia Maisha ya Lulu, Diamond na ant ezekiel....wewe ni fail kabisa ni bora urud form one
Usijute unaongea hivi hata form four ulipata division 5
 
Labda vichwa vya panzii...mbona watu walienda kwa mbwembwe advance kusoma PCM na one zao,,kilichowakuta ni siri yao.....saiz wanatumia vyeti vya o level kusoma diploma .....somo la kumeza maformular ,,formula nyingine zimebebana kama tran imedondoka vile.....
Mkuu kuna mtu namjua Alienda Advance Na PCM akapata S zote.Akaanza Upya Advance Na HKL akatoka form Six Na One ya 4.Sasa wewe niambie mtu mmoja tu aliyefeli HKL ,HGK,HGL advance akaenda kurudia PCM akafaulu,kama yupo hata mmoja tu unitajie.
Mara nyingi mtu anayesoma PCM kuna uwezekano mkubwa hata hiyo HKL akaimudu.Lakini aliyeenda HKL ni nadra sana akaweza kuimudu PCM.
Ndo hapo utajua vichwa vipo wapi
 
Kwa wale H kunani ni rahisi sana kupata Subsidiary ya General studies.

Kimbembe kiko hapa, PCM,PGM,PCB,CBG na CBN.

Hizo Combination watu tunawekeza nguvu zaidi kwenye kutafuta principal pass za chuo, hilo GS inakua shida kulifaulu kwa sababu hatujiweki social, we mtu kutwa nzima unakomaa na Chand au BS huo muda wa kua socila unapata wapi?

All in all sijawahi kuona madhara ya mtu kufeli GS.
Kama yapo naomba nielimishwe.
 
Sikia mkuu TO anatoka PCM kwa sababu ayo masoma ni mahesabu tu ,na ukipata jibu ni hilo hilo na marks wanakupa kama ilivopangwa ....tofauti na masomo ya kujieleza ambapo kila mtu anamaelezo yake ,kumshawish msahihishaji akupe marks zote ni ngumu ...ndo maana kupata A ya math,phyz, ni rahis kuliko kiswahili,history,language....kiufupi math ,phyz,chem ,bios...ni masomo ya kukalili na kuhamishia kwenye mtihan ....ukiweza ivo utachora A za maana ...ila aya wengine ni maelezo
Kwanini basi watu hawakalili Form four ili wafaulu vizuri Maths Phys Na Chemistry.Kama ishu ni kukariri basi F Za Phys Na Maths o level zingekuwa chache maana huko wanasoma wote.
 
Sikia mkuu TO anatoka PCM kwa sababu ayo masoma ni mahesabu tu ,na ukipata jibu ni hilo hilo na marks wanakupa kama ilivopangwa ....tofauti na masomo ya kujieleza ambapo kila mtu anamaelezo yake ,kumshawish msahihishaji akupe marks zote ni ngumu ...ndo maana kupata A ya math,phyz, ni rahis kuliko kiswahili,history,language....kiufupi math ,phyz,chem ,bios...ni masomo ya kukalili na kuhamishia kwenye mtihan ....ukiweza ivo utachora A za maana ...ila aya wengine ni maelezo
hakuna kitu kama hicho!! masomo ya sayansi siyo ya kukariri kama unavyofikiri kama huna concept utasolve vipi? fanya analysis ndogo tu o level mara nyingi A za kiswahili zinakuwa nyingi tofauti na hesabu au Physics. Mwanafunzi huyohuyo anapata A au B ya kiswahili ila anapata F ya hesabu, ila anayepata A ya hesabu ni mara chache sana kufeli kiswahili
 
Mkuu kuna mtu namjua Alienda Advance Na PCM akapata S zote.Akaanza Upya Advance Na HKL akatoka form Six Na One ya 4.Sasa wewe niambie mtu mmoja tu aliyefeli HKL ,HGK,HGL advance akaenda kurudia PCM akafaulu,kama yupo hata mmoja tu unitajie.
Mara nyingi mtu anayesoma PCM kuna uwezekano mkubwa hata hiyo HKL akaimudu.Lakini aliyeenda HKL ni nadra sana akaweza kuimudu PCM.
Ndo hapo utajua vichwa vipo wapi
Watu hawajui tu mi nina demu wangu ametafuta credits three consecutive yrs akapata akaenda kusoma HKL advance ametoka na div 1 ya 8pts. Sasa uliza kama kuna watafuta credit wanaokwenda advance kusoma comb yoyote inayoanzia na P.
 
Hiki kizazi kina walakini!

Tuliokuwa na S za GS tena ukute za A kabisa utatuambia nini
 
Kwel sijaona A ya GS mwaka huu...somo lolote la maelezo sio rahisi kulifaulu linaconcept kibao mpaka umushawish msahihishaji akupe marks nying ni kaz..ndo maana ma T.O Mara nying ni PCM au PCB ...jiulize kwanin hakunaga TO wa HKL,HGK,KLF,HGL...kupata A ya kiswahili ni kaz ingawa ni lugha ya taifa
Hahahahaaaa anayejua hasomi hayo masomo. Hao wote wengi wao science iliwashinda
 
Sikia mkuu TO anatoka PCM kwa sababu ayo masoma ni mahesabu tu ,na ukipata jibu ni hilo hilo na marks wanakupa kama ilivopangwa ....tofauti na masomo ya kujieleza ambapo kila mtu anamaelezo yake ,kumshawish msahihishaji akupe marks zote ni ngumu ...ndo maana kupata A ya math,phyz, ni rahis kuliko kiswahili,history,language....kiufupi math ,phyz,chem ,bios...ni masomo ya kukalili na kuhamishia kwenye mtihan ....ukiweza ivo utachora A za maana ...ila aya wengine ni maelezo
Mbona mm nimechora A kwenye hayo masomo unayolia lia na nikasoma PCM na hao waliokuwa wanajifanya art ndio kabisa walikuwa hata hawanikaribii afu leo unaleta mada eti art ngumu # jitafakari
 
GS hata usomeje kufaulu ni shida sana ,unaeza kuta mtihani ukaona mtihani rahisi na ukajiaminisha unapata A lakini tokeo likija una F
Watu wa zamani walifichiwa aibu kidogo tokeo lao walikuwa wanawekewa S siku hizi upendeleo huo hakuna
Gs sio ngumu ila akili yako ndio mbovu
 
Labda vichwa vya panzii...mbona watu walienda kwa mbwembwe advance kusoma PCM na one zao,,kilichowakuta ni siri yao.....saiz wanatumia vyeti vya o level kusoma diploma .....somo la kumeza maformular ,,formula nyingine zimebebana kama tran imedondoka vile.....
Kama mwenye one alipata zero sasa wew ungeenda kupata ngap maana hata hiyo zero usingeipata
 
Nilikua natafuta S ya GS, nisingeweza kuacha kusoma Uchumi, Maths na Geog nikasome GS.
Nakumbuka siku moja baada ya matokeo ya terminal kutoka kwenye egm nilikia na ABA alafu gs nikawa na 30,

madam wa gs akaleta pepa zake aliniita mbele ya darasa alinipiga maneno ambayo yaliniuma sana na kuanzia siku hiyo nikawa na theory moja... Kwenye egm nilikua napiga full msuli kila somo kuanzia gs, divinity, math, eco duuh kila siku kwenye tatu bora hunikosi.



Kwa kifupi sijawah chagua somo!! Mungu si athman nikapiga one yangu swafi kabisa...
 
Mbona mm nimechora A kwenye hayo masomo unayolia lia na nikasoma PCM na hao waliokuwa wanajifanya art ndio kabisa walikuwa hata hawanikaribii afu leo unaleta mada eti art ngumu # jitafakari
Mtu anambie Eti Sayansi ni kuclaim tu aaah haiji akilini kabisa
 
4 Reactions
Reply
Back
Top Bottom