Boflo
JF-Expert Member
- Jan 20, 2010
- 4,384
- 4,409
Kupapaswa Makalio..
Nyie wapenzi wa soka hasa ligi ya primia mshaona hili.
Mchezaji tuseme wa Man U akicheza vizuri uwanjani utaona mchezaji mwenzake au hata kocha wake kama Sir Alex Furgerson , akimpiga piga makalio...mimi nadhani ni ishara ya pongezi..well done..well done.
Lakini Afghanistani! Weeeee. Mwiko.
Wanajeshi wa marekani au uingereza wanaohudumu huko wamewahi kipigwa risasi kwa kuwapapasa au kumpiga piga Mattako mwanajeshi wa Afghanistan.
Sasa wizara ya ulinzi ya Afghan imeamua kutoa mafunzo maalum kwa wanajeshi wake kwamba kubalini kupapaswa makalio na wamarekani hizo kwao ni ishara za pongezi au salamu.
Mafunzo haya maalum yamenza baada ya visa vya wanajeshi wa Afghan kuwauwa wanajeshi wa marekani katika siku za hivi karibuni.
Msemaji wa Wizara ya Ulinzi wa Afghanistan Zahir Azimi amesema wanajeshi wote karibu laki mbili watapewa mafunzo ya kuwaelewa Wamarekani na kukubali salamu zao.
Mwaka huu peke yake wanajeshi wa Afghan wamewapiga risasi na kuwauwa walimu wao wa kimarekani 45. Kwa kumbe sababu ni hizo za kupigwa pigwa makalio eti ni pongezi.
Kwa Mafghanistan hakuna pongezi za hivyo.
Source: BBC
Nyie wapenzi wa soka hasa ligi ya primia mshaona hili.
Mchezaji tuseme wa Man U akicheza vizuri uwanjani utaona mchezaji mwenzake au hata kocha wake kama Sir Alex Furgerson , akimpiga piga makalio...mimi nadhani ni ishara ya pongezi..well done..well done.
Lakini Afghanistani! Weeeee. Mwiko.
Wanajeshi wa marekani au uingereza wanaohudumu huko wamewahi kipigwa risasi kwa kuwapapasa au kumpiga piga Mattako mwanajeshi wa Afghanistan.
Sasa wizara ya ulinzi ya Afghan imeamua kutoa mafunzo maalum kwa wanajeshi wake kwamba kubalini kupapaswa makalio na wamarekani hizo kwao ni ishara za pongezi au salamu.
Mafunzo haya maalum yamenza baada ya visa vya wanajeshi wa Afghan kuwauwa wanajeshi wa marekani katika siku za hivi karibuni.
Msemaji wa Wizara ya Ulinzi wa Afghanistan Zahir Azimi amesema wanajeshi wote karibu laki mbili watapewa mafunzo ya kuwaelewa Wamarekani na kukubali salamu zao.
Mwaka huu peke yake wanajeshi wa Afghan wamewapiga risasi na kuwauwa walimu wao wa kimarekani 45. Kwa kumbe sababu ni hizo za kupigwa pigwa makalio eti ni pongezi.
Kwa Mafghanistan hakuna pongezi za hivyo.
Source: BBC