Kisima
JF-Expert Member
- Oct 8, 2010
- 4,094
- 4,395
Habari ndg wanajamvi.
Ninashida tema shida muhimu sana.
Naomba mnisaidie Baba yangu anaumwa moyo.
Alienda aghakan hospital baada ya uchunguzi akagundulika anaugonjwa wa moyo. Na alipewa dozi ya siku kumi kwa matazamio na kama hali ikiendelea basi turudi after iii
Yaani moyo wake umepanuka.
Mpaka sasa my dat yupo ktk hali mbaya sana kitandani tangu november 2010
nahitaji mchango wenu wanajamvi kunisaidia kwa hIlo.
Ninashida tema shida muhimu sana.
Naomba mnisaidie Baba yangu anaumwa moyo.
Alienda aghakan hospital baada ya uchunguzi akagundulika anaugonjwa wa moyo. Na alipewa dozi ya siku kumi kwa matazamio na kama hali ikiendelea basi turudi after iii
Yaani moyo wake umepanuka.
Mpaka sasa my dat yupo ktk hali mbaya sana kitandani tangu november 2010
nahitaji mchango wenu wanajamvi kunisaidia kwa hIlo.