Kupaniki

Kupaniki

Jaribu kukaa kimya baada ya kukwazika bila kutia neno lolote, na kama aliyekukwaza anataka uongee basi mwambie naomba unipe muda na kama hakuelewi anaendelea kukuzingua basi ondoka mahali pale kama inawezekana wewe kuondoka. Kila la heri.

Habari wadau, mimi ni msichana mwenye umri wa miaka 26, nina tatizo ambalo hata mimi mwenyewe linaniumiza sana.. nina tabia ya kupaniki kwa haraka sana hata kama mtu kanikwaza kidogo.. kiukweli natamani niwe na uwezo wa kucontrol hasira zangu but nashindwa,,,, so plezzz wapendwa wangu nisaidieni niwe nafanyaje ili nichukulie vitu simple.. natanguliza shukrani.
 
how i wish angekuwepo huyo mume.. zimeniachanisha na the man i love!

Basi huyo mwanaume hakuwa akijua hii tiba...ninyi wenye hasira hii ndio dawa yenu na huwa mnaweka heshima haswaa a kwa wale wanaowakamua vizuri na wanaojua flirting...
 
Basi huyo mwanaume hakuwa akijua hii tiba...ninyi wenye hasira hii ndio dawa yenu na huwa mnaweka heshima haswaa a kwa wale wanaowakamua vizuri na wanaojua flirting...

Hapana!!& watu8 we mpana sana.
 
ikikutokea hali hiyo vuta pumzi kwa nguvu kasha achia taratibu ndo dawa, hapo ndo una-release tension/stress
 
au hauna hela au una shida ya hela afu huipati nacho kinaweza kuwa chanzo coz watu wengi wakiwa hawana hela wanakuwa na hasira kitu kidogo tu anapaniki..cha muhimu ukiwa na hasira jitahd kunywa maji temper yako itashuka,km uko nyumbani lala ukiamka utakuwa umetulia au ondoka hyo sehemu fasta,then jifunze kutake vitu easy la sivyo kila siku utaumia
 
Basi huyo mwanaume hakuwa akijua hii tiba...ninyi wenye hasira hii ndio dawa yenu na huwa mnaweka heshima haswaa a kwa wale wanaowakamua vizuri na wanaojua flirting...

duh.. popote alipo still nampenda sanaaaaa jaman
 
Habari wadau, mimi ni msichana mwenye umri wa miaka 26, nina tatizo ambalo hata mimi mwenyewe linaniumiza sana.. nina tabia ya kupaniki kwa haraka sana hata kama mtu kanikwaza kidogo.. kiukweli natamani niwe na uwezo wa kucontrol hasira zangu but nashindwa,,,, so plezzz wapendwa wangu nisaidieni niwe nafanyaje ili nichukulie vitu simple.. natanguliza shukrani.

Mmh mbona kama nakufaham ndugu
 
inawezekana una estrogen nyingi kwenye mwilini so unahitaji wa kukupunguza hizo homoni dada angu. tafuta mtu(mwanaume) ambaye unamfeel au kupenda akupe mavituzi hasira zote zitaisha.....ila hakikisha unafikishwa ogasm vingineyo hasira zitazidi tu.
 
inawezekana una estrogen nyingi kwenye mwilini so unahitaji wa kukupunguza hizo homoni dada angu. tafuta mtu(mwanaume) ambaye unamfeel au kupenda akupe mavituzi hasira zote zitaisha.....ila hakikisha unafikishwa ogasm vingineyo hasira zitazidi tu.

Mmhm hata exercises pia inafaa, maswala ya Ku have sex without long run relationship its another frustrations.
 
Chukulia vitu simple hata kama ni kikubwa na kimekukwaza/kuuma....mambo ya dunia hii huyawezi...the world is not fair!!...act like you dont care....
 
Chukulia vitu simple hata kama ni kikubwa na kimekukwaza/kuuma....mambo ya dunia hii huyawezi...the world is not fair!!...act like you dont care....

For sure Aaaaaaaaaaaaaaaaaahhhhhhhaaaaa I love it . Thanks!
 
For sure Aaaaaaaaaaaaaaaaaahhhhhhhaaaaa I love it . Thanks!

Yep...itakusaidia sana!! Kama unaamini Mungu uwe unamuomba akusaidie,afu unaipotezea hiyo shida kama huijui/ kama ni mtu unamchukulia poa tu /unampotezea anajiona boya!!
 
Back
Top Bottom