Madaraka matamu,hili linajidhihirisha kwa sasa kwa huyu kiongozi wa kambi ya upinzani aliyepita.
Sasa ndio inajulikana wazi kwa umma wa watanzania ambao walikuwa hawajui kama kuna million 200 huwa zinatengwa kila mwaka kwa kiongozi wa kambi ya upinzani,sio hilo tu kupewa usafiri ambao serikali ndio lenye jukumu la kuhudumia,
chama chake hakina wabunge wa kutosha kuunda kambi ya upinzani,sasa anataka kuunda kambi ndogo ya upinzani ndani ya kaqmbi ya upinzani,
hakika ni wa kuogopwa kama ukoma kwani hana nia nzuri na u siasa za upinzani za tanzania
Sasa ndio inajulikana wazi kwa umma wa watanzania ambao walikuwa hawajui kama kuna million 200 huwa zinatengwa kila mwaka kwa kiongozi wa kambi ya upinzani,sio hilo tu kupewa usafiri ambao serikali ndio lenye jukumu la kuhudumia,
chama chake hakina wabunge wa kutosha kuunda kambi ya upinzani,sasa anataka kuunda kambi ndogo ya upinzani ndani ya kaqmbi ya upinzani,
hakika ni wa kuogopwa kama ukoma kwani hana nia nzuri na u siasa za upinzani za tanzania