Kupanda kwa bei ya gas hata baada ya kupatikana kwa gesi toka Mtwara, inakuwaje?

chameleon

JF-Expert Member
Dec 4, 2013
555
170
Jana nillenda kununa gesi ya kupikia mtungi wa Kg 6 ambao niliuziwa kwa Tsh 21,000. Naona kama kuna ongezeko la bei lisilokua na maelezo.

Nilitegemea kuwa gesi ingeshuka bei kutokana na upatikaji wa gesi toka Mtwara ili taifa liweze sasa kupunguza ukataji miti kwa ajili ya matumizi ya kuni na mkaa.

Hawa watawala wanatupeleka wapi?
 
Pia gas ya mtwara sio mali ya watanzania kama ilivyo dhahabu na diamonds
Hizo ni mali za wawekezaji ila zinapatikana kwenye aridhi ya tz
Hivi kwa nini wananchi wenye hasira kali huishia kuuwa vibaka tu?
 
Kuna mtaalamu alinambia kuwa Gas ya Mtwara ni gharama kuihifadhi kwenye mitungi, yaani hii mitumgi inabidi iongezeke unene zaidi ya mara 2 na valve ziwe imara, sababu gas ya mtwara sio LPG.
 
Jana nillenda kununa gesi ya kupikia mtungi wa Kg 6 ambao niliuziwa kwa Tsh 21,000. Naona kama kuna ongezeko la bei lisilokua na maelezo.

Nilitegemea kuwa gesi ingeshuka bei kutokana na upatikaji wa gesi toka Mtwara ili taifa liweze sasa kupunguza ukataji miti kwa ajili ya matumizi ya kuni na mkaa.

Hawa watawala wanatupeleka wapi?

ile ya mtwara ni natural gas na hii ya kwenye mitungi ni hand gas (industrial made)
ile ya mtwara inaitajika process inayoitwa liquefied ili iweze kutumika ktk matumizi ya nyumbani, ni swala la muda na technology tu lakini natumai tutafika uko.
 
Njia rahisi ya kuitumia gesi asilia majumbani ni kwa mfumo wa usambazaji wa mabomba, yaani kama yalivyo mabomba ya maji.

kikwazo kikubwa kitakachozuia wananchi wengi kufaidika na gesi ya mtwara kwa matumizi ya majumbani ni mipango miji mibovu ya miji yetu.

Na kitakachotokea ni gesi kutumika zile sehemu tu zilizopimwa.

Hii ni moja ya hasara kwa kuwa na mipangomiji ya hovyo.
 
Tunachangia kampeni za ccm zile za kusomba watu kwa malori na kuwanunulia pombe za kienyeji na pilau feki
 
mkuu afadhari wewe huo mtungi wa kg6 umeuziwa hiyo bei, Mimi niliuziwa elfu 30 nikawapigia simu mihan gas wakanijibu hiyo ni kawaida tu mbona hata soda ya 600 inauzwa 1000... iliniuma sana ila ndio vile tena
 
Kuna mtaalamu alinambia kuwa Gas ya Mtwara ni gharama kuihifadhi kwenye mitungi, yaani hii mitumgi inabidi iongezeke unene zaidi ya mara 2 na valve ziwe imara, sababu gas ya mtwara sio LPG.

mkuu inayowekwa kwnye mitungi ni methane / liquified natural gas LNG, hii lpg ni nini?
 
mkuu inayowekwa kwnye mitungi ni methane / liquified natural gas LNG, hii lpg ni nini?

Huyo Kizaizai achana nae, hajui anachoongea:

Liquefied natural gas (LNG) is natural gas (predominantly methane, CH[SUB]4[/SUB]) that has been converted to liquid form by cooling natural gas to -162ºC, and thus turning it into a liquid for easier storage and shipment. It takes up about 1/600th the volume of natural gas in the gaseous state. It is odorless, colorless, non-toxic and non-corrosive.
 
Nawashukuruni nyote kwa elimu mliyonipatia lakini bado si umeme wala bidhaa za viwandani zilizoshuka bei kutokana na matumizi ya nishati ya gas.
 
Jana nillenda kununa gesi ya kupikia mtungi wa Kg 6 ambao niliuziwa kwa Tsh 21,000. Naona kama kuna ongezeko la bei lisilokua na maelezo.

Nilitegemea kuwa gesi ingeshuka bei kutokana na upatikaji wa gesi toka Mtwara ili taifa liweze sasa kupunguza ukataji miti kwa ajili ya matumizi ya kuni na mkaa.

Hawa watawala wanatupeleka wapi?
Wanatupeleka kwenye uchaguzi 25/10/2015. Na wewe wapandishie bei ya kura yako.
 
Nawashukuruni nyote kwa elimu mliyonipatia lakini bado si umeme wala bidhaa za viwandani zilizoshuka bei kutokana na matumizi ya nishati ya gas.

chameleon, utaumiza kichwa sana na hayo maswali yako lkn jibu analo JK tu, we umeshaambiwa mji wa bagamoyo utakuwa kitovu cha biashara, bandari kubwa inajengwa bagamoyo, bomba la gas limeshafika dar es salam we unategeme
 
Ukiongea sana kumbuka kunywa maji ili kulainisha koo, assume gesi ikaamua kulipuka inamaana mlipuko utaanza mtwara mpaka dar lilimopita lile bomba. Madhara ya kujiongezea gharama kwa vitu ambavyo sio lazima vikawekwe dar yanatugharimu wananchi. Kodi za hayo mabomba ya kuletea gesi toka mtwara mpaka dar pamoja na vifaa vingine, gharama hizo znajumlishiwa kwenye gesi unayonunua mwananchi. Akili za viongozi wetu ni zile akili za kimsimu
 
Back
Top Bottom