Chamoto
Platinum Member
- Dec 7, 2007
- 9,856
- 22,190
Kama ungekuwa ni wewe cheusi umeandika wala nisingekuwamim nilijua tokea mwanzo ni vyombo vya mezani,niliwashangaeni saaaaana kudhani hili ni fumbo,
na tatizo lakini mwanakijiji huwa anatabia ya kuandika maudhi
yenye tungo tata.