The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,320
- 117,612
- Thread starter
- #61
Katika nchi zinazoongoza katika ukusanyaji hafifu wa mapato unaosababishwa na inefficiency,Tanzania yetu inaongoza katika ukanda wetu ....
Kodi ni lazma itiliwe mkazo yaani watu wengi waingizwe katika mfumo huu lakini ili hili lifanikiwe,
Lazma huduma za kijamii ziboreshwe ili wanachi wahakikishiwe kuwa kodi yao inawanufaisha
Kama tatizo ni makusanyo hafifu ya kodi wangeimarisha makusanyo bila kuongeza kodi
kuongeza kodi ni kuumiza waliokuwa wanalipa tayari.....