Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 137,586
- 272,326
Ngoja tufunge maduka tuone mtakakopata hela sasa .Mkuu, wafanyabiashara wengi wa Kariakoo walikuwa hawalipi kodi. Baadhi ya makontena ya wajanja yalikuwa yanaishia Kariakoo huku walioleta wakijifany wao ndiyo TRA. Hakuna kitu serikali ilikuwa inapata pale.
Hao wakianza kufanya biashara, haileti tofauti yoyote kwenye mapato ya serikali. Huyo TRA wao (HSC) ndiyo alikuwa akifaidi.